Uchaguzi 2020 TAKUKURU Mara: Mjumbe atumbukiza chooni Tsh. 70,000 asikamatwe. Tunawashikilia watano kwa kupokea rushwa kutoka kwa wagombea Viti Maalum

Ogopa mtu anayetumia pesa ili apate madaraka
Pesa yake atairudisha tu

Ova
 
Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Maagizo makali toka juu yalikuwa hayajawafikia hata hivyo yanayotokea sasa ni tip of the Iceberg kwa sababu rushwa kwenye uchaguzi CCM ni tabia ndo maana hakuna anayezhitakiwa na Mahakama ya mafisadi yalifungwa kabla ya kuanza. Kwenye miradi ya ujenzi ndo rushwa tupu kupata tendà, kutokamilisha kwa wakati na na kujenga chini ya kiwango ndo maana miradi mingi ya ujenzi na ya maji mwaka Jana Mwenge na mawaziri kadhaa safarini Mikoani walikataa kufungua. Rushwa ndo inabadili damu kuwa kijani!
 
Nasari alipeleka ushaidi matokeo yake Mnyeti akapandishwa cheo.
 
Choo gan hicho tukazisake? Tupeni location
 
Kwa akili yako unaweza kujing'ata kidole chako mwenyewe?
Hahahaha! Ukifatilia jinsi alivyokuwa anapita bila kupingwa kuanzia jimboni kwake, ndo utajua kwa nini uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka jana umevurugwa kiasi hicho.
 
Pumbavu!
 
Wafikishwe mahakamani,acheni longolongo
 
Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Michezo ya kuigiza tu. Hi Taasisi ingefutwa tu.
 
Mbona huyo bosi wa takukuru kachoka hivyo halafu inaonekana anazimezea mate kweli kweli hizo noti
 
Huyu jamaa wa Mara huko vizuri sana.hacheki na nyani.huyu inabidi apate promotion, juzi meko alivyouliza mtu mchapa kazi sijui kwa nini hawakumtaja. Wakapiga kimya
 
Mbona huyo bosi wa takukuru kachoka hivyo halafu inaonekana anazimezea mate kweli kweli hizo noti
Huyo jamaa wiki iliyopita alikamata bil 2 aakazipeleka kwa mkuu wa mkoa.ndio maana anawakamata wanajua ni choka mbaya mwenzao
 
Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Gambo katembeza rushwa balaa wako kimya,mwizi hawezi kumkamata mwizi mwenzake ni danganya toto tunachezewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…