bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Unawajua madereva wa bongo wewe.Wakifuata sheria zipi hizo? Wewe bhana kama ni mmoja wao, kubali tu mnazingua. Maana mna njaa mpaka mnaboa. I wish ningekuwa Rais.
Hakika ningewatimua wote barabarani, halafu ningefunga camera tu za cctv kwenye maeneo yote muhimu. Dereva atakaye kiuka sheria za usalama barabarani kwenye hayo maeneo, ndiyo atahukumiwa sasa kutokana na makosa yake.
PoleMuda huu saa sita kamili mchana hapa Stendi ya Morroco (Dar es Salaam) kuna askari watatu wanakusanya hela hadharani kwa kila Daladala inayosimama kituoni.
TAKUKURU tokeni maofisini muwakamate hawa majambazi katika nguo nyeupe.
Ninachojiuliza mbona wanaofanya hivyo hadharani hawachukuliwi hatua?
Sasa kama huyo mwarabu mkuu wao na yeye ni polisi unategemea atawakamata wenzie? kimsingi katika taasisi ambazo zimeoza na zimelalaaaaa hata zikinywa mkongo haziwezi kuamka ni hao jamaa taakuukuuruu , trafiki wananyang'anya yaani wanakwiba kuna jamaa yangu ana vibajaji vyake huko mpaka kaamua kuviuza yaani ni kero wanakwiba mpaka wanatia kinyaa, wanakusanya utadhani wametumwa na wako kwenye mashindano ya kukusanya, Kenya tu ndio kiboko wanawadaka mpaka wanaleta raha ,wanamvizia wanakula kichwa anakula pingu inakuwa imeenda hiyo. BONGO BAHATI MBAYA SANA.Muda huu saa sita kamili mchana hapa Stendi ya Morroco (Dar es Salaam) kuna askari watatu wanakusanya hela hadharani kwa kila Daladala inayosimama kituoni.
TAKUKURU tokeni maofisini muwakamate hawa majambazi katika nguo nyeupe.
Ninachojiuliza mbona wanaofanya hivyo hadharani hawachukuliwi hatua?
Ukienda kule unapigwa vilevile.Takukuru wenyewe ndo walewale wapigaji tu