Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Kuna hili nalo!?
Lipo, na ndiyo chanzo cha ugomvi wa DC na Lau Masha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hili nalo!?
Kusema, “TAKUKURU mchunguzeni …” ni rai?
Wewe ni mgeni kwenye jukwaa hili kiasi cha kutokujua political vengefulness ya watu waliomo humu?
Mimi sasa hivi nikianzisha campaign dhidi ya Ally Hapi au Dr. Mashinji hapa ndani, kwa kisingizio chochote kile, unadhani sitaungwa mkono na supermajority ya wachangiaji wa uzi wangu?
Tatizo sio kulipwa tatizo ni yeye kuutangazia umma kwamba kajitolea. Kama alitaka baadae aje alipwe angefuata taratibu za kiserikali toka mwanzoni. Alichofanya ni kama kutoa tu sadaka. Au alikuwa anatafuta kiki.Hakuna cha bure kila siku huwa tunasema humu mpaka tunamnanga Rais kwamba anakopa na kutafuta misaada ajue hakuna cha bure
Sasa nyie mnatala Msando atoe bure ili iweje? Uchumi gani wa kibwege namma hiyo?
Serikali ndo Serikali lakini wananchi wanalipia kupita daraja la Kigamboni, Pantoni za Serikali lakini wananchi wanalipa kuvuka.
Nyie vipi yaani Msando afanye bure baba yenu au nini? Acheni ubwege. Msando ni lawyer hawezi kuwa fala kiasi hicho.
Tuelezane ukweli tu mtu akope 106M akatwe salary kabisa alaf asidai? Mtakiwa mmerogwa nyie.
Alipwe chake kwani machinga siwanafanya biashara wanaingiza hela kwanini yeye ajenge bure?? Uchumi wa kiboya huo haupo duniani hapa
Huyo jamaa yako kauzu 😄😄Huyo msando ni mwizi anashirikiana na mgambo kukamata bajaj zinazopakia maeneo waliyopiga marufuku kusimama na wakikukamata wanapiga faini wanayoitaka wao kati ya 50000 na 30000 na ukizingua wanakuweka polisi na bajaj inaandikwa asitoke kwa amri ya mkuu wa wilaya, kuna jamaa yangu ilimtokea hii akagoma kulipa hadi msando mwenyewe akaenda pale sentro akamuuliza jamaa kwanini hutaki kulipa ni nani anakupa jeuri?
DC analipwa tsh ngapi kwa mwezi?Mwalimu wa Afrika mashariki mimi huwa namuita masikini na nitaendelea kumuita hivyo! Na hata akijaribu kula hekaluni kwake atashikwa tu afungwe kirahisi kabisa.
Mkuu wa Wilaya mshahara na hayo unayoyaita malupulupu hayatoshi hata kidogo kama una akili za kitajiri