TAKUKURU mchunguzeni Mkuu wa Wilaya Morogoro, anaitumia ofisi yake vibaya


Mbona kama unahofia sana DC kuchunguzwa? Kwani kama watu wana mashaka nae akichunguzwa si ndio vizuri kuwaondolea hayo mashaka na yeye kubaki msafi on record?

Narudia kwa msisitizo; Takukuru waangalie visingizio nilivyovitaja kisha wachukue hatua za haraka ili kuepusha hasara na upigaji, sababu haya anayotajwa nayo DC sio mepesi kama unavyotaka kuyachukulia mkuu.

Ukiendeleza ubishani usio na tija nitakupuuza.
 
Tatizo sio kulipwa tatizo ni yeye kuutangazia umma kwamba kajitolea. Kama alitaka baadae aje alipwe angefuata taratibu za kiserikali toka mwanzoni. Alichofanya ni kama kutoa tu sadaka. Au alikuwa anatafuta kiki.
 
Huyo jamaa yako kauzu 😄😄
 
DC analipwa tsh ngapi kwa mwezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…