TAKUKURU mko wapi? Mbunge Musukuma asema wavuvi Kanda ya Ziwa walioombwa rushwa na Luhaga Mpina wako tayari kutoa ushahidi

TAKUKURU mko wapi? Mbunge Musukuma asema wavuvi Kanda ya Ziwa walioombwa rushwa na Luhaga Mpina wako tayari kutoa ushahidi

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.

Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina. TAKUKURU hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
 
Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.

Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina ....TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Ha ha ha!
Huyo Mpina mpaka aombe poo!
 
Mpina amelianzisha wakati akijua fika anaishi katika nyumba ya vioo. Sasa itampasa awe mvumilivu kwa mapigo atakayopata kutoka kwa watoto wa kihuni.

Itakuwa sasa ni kushuhudia, kampa, kampa tena. Kudhulumu wanakijiji mashamba na kujimilikisha, rushwa kutoka wavuvi, kesho utasikia skendo zake za ngono....

Ukishindwa kupambana nao, ni heri ujiunge nao.
 
Mpina amelianzisha wakati akijua fika anaishi katika nyumba ya vioo. Sasa itampasa awe mvumilivu kwa mapigo atakayopata kutoka kwa watoto wa kihuni.

Itakuwa sasa ni kushuhudia, kampa, kampa tena. Kudhulumu wanakijiji mashamba na kujimilikisha, rushwa kutoka wavuvi, kesho utasikia skendo zake za ngono....

Ukishindwa kupambana nao, ni heri ujiunge nao.
Hakuna aliye msafi ndani ya Ccm
 
Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.

Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina ....TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Kweli baadhi ya wabunge na wawakilishi wa wananchi ni mambulukenge! Tusameheane tu kweli!

Kwani kama kuna rushwa klitembezwa na alilijua hilo alikuwa wapi asiseme mud wote huo? Tena akiwa kama mbunge na alijinyamazie basi naye ni mshiriki ana la kujibu!

Shoda ni hoja ya ukweli alokuja nayo Mpina? Kwa nini wasishughulikie hoja iliyoko mezani? Kutafuta ukweli kwa manufaa ya waTanzania na sio mtu mmoja!?

Tekelezeni wajibu wenu acheni kutisha watoa hoja!.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
kwani mpina ,Kuna Moto aliuwasha!?,hebu nijuzeni alimfanya nn msukuma Tena!?
Mkuu . Ugomvi wa msukuma na Mpina ulianza kipindi Mpina ni waziri wa Samaki.

Basi la msukuma lilikamatwa likiwa limebeba samaki wachanga (according to Mpina) Basi likapelekwa polisi kituoni wakati mzigo haukua wa msukuma. Basi limekaa kituoni mpaka limeoza.

Hapo ndio bifu ilipoanzia. Sasa hivi inaonekana Mpina amechoka (Hana pesa na ushawishi) kumtafutia sababu na kumpotezea Butimba ni sawa na kumsukuma mlevi wa pombe chafu.
 
Mpina akiwa Waziri aliwatesa sana watu wa kanda ya Ziwa.

Namkumbuka jamaa wa Mwanza aliyelazimika kuiuza hotel yake aliyoijenga kwa bilioni 6, akaiuza kwa bilioni 3 ili apate hela milioni 300 za kulipa kwa kile kilichotajwa faini ya uhujumu uchumi kwa vile kwenye underground floor ya hotel yake yalipatikana makokoro.

Baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi, akaona aheri awape hiyo hela ili awe huru.
 
Mpina amelianzisha wakati akijua fika anaishi katika nyumba ya vioo. Sasa itampasa awe mvumilivu kwa mapigo atakayopata kutoka kwa watoto wa kihuni.

Itakuwa sasa ni kushuhudia, kampa, kampa tena. Kudhulumu wanakijiji mashamba na kujimilikisha, rushwa kutoka wavuvi, kesho utasikia skendo zake za ngono....

Ukishindwa kupambana nao, ni heri ujiunge nao.

Akizidisha kelele anaanzishiwa tuhuma za ugaidi na utakatishaji pesa! Kupanga kulipua mitumbwi, mashua na mialo ya wavuvi katika harakati za kudai mlungula. Ndio atakapoijua CCM.
 
Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.

Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina ....TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Sio uongo aliosema msukuma hata huku kashagulu Kata ya kalya wilaya uvinza mkoa kigoma ziwa Tanganyika tuliombwa rushwa tuliokataa nyavu zilichomwa na kuchukua mashine zetu hadi lleo tunaamniwa tukazikomboe licha yakuwa na leseni na uvuvi halali tunamuomba mama aturudishie hakizetu mpina achunguzwe uonezi ulitumika iundwe tume
 
Mpina akiwa Waziri aliwatesa sana watu wa kanda ya Ziwa.

Namkumbuka jamaa wa Mwanza aliyelazimika kuiuza hotel yake aliyoijenga kwa bilioni 6, akaiuza kwa bilioni 3 ili apate hela milioni 300 za kulipa kwa kile kilichotajwa faini ya uhujumu uchumi kwa vile kwenye underground floor ya hotel yake yalipatikana makokoro.

Baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi, akaona aheri awape hiyo hela ili awe huru.
Aisee
 
Kaa
Akizidisha kelele anaanzishiwa tuhuma za ugaidi na utakatishaji pesa! Kupanga kulipua mitumbwi, mashua na mialo ya wavuvi katika harakati za kudai mlungula. Ndio atakapoijua CCM.
Fungal bakuli Mimi nimuhanga kama msukuma nawengine watu tumepigwa na mpina kwakazi halali asingiziwi in kweli ameumiza watu huyo mpina
 
Back
Top Bottom