Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.
Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina ....TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Mpina ni muhalifu namba moja nchi hiiMpina akiwa Waziri aliwatesa sana watu wa kanda ya Ziwa.
Namkumbuka jamaa wa Mwanza aliyelazimika kuiuza hotel yake aliyoijenga kwa bilioni 6, akaiuza kwa bilioni 3 ili apate hela milioni 300 za kulipa kwa kile kilichotajwa faini ya uhujumu uchumi kwa vile kwenye underground floor ya hotel yake yalipatikana makokoro.
Baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi, akaona aheri awape hiyo hela ili awe huru.
Kwaaan wao kama ccm kwann wasimfukuze uanachama kama c mwadilifu hadi takukuruMbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.
Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina ....TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Kweli kabisa, na yeye ni mshiriki kwenye rushwa inabidi akajibu ni kwa nini alinyamazia information ya rushwa muda wote huo.Kwani kama kuna rushwa klitembezwa na alilijua hilo alikuwa wapi asiseme mud wote huo? Tena akiwa kama mbunge na alijinyamazie basi naye ni mshiriki ana la kujibu!
Hii nchi ya ajabu sana, Mpina ametimiza wajibu wake kama mbunge ameibua hoja yake imekuwa nongwa, kisa amemsema Makamba!! Huyu mbunge Msukuma anavyoropokaga angesikia Mpina amekula rushwa angenyamaza!!Kweli baadhi ya wabunge na wawakilishi wa wananchi ni mambulukenge! Tusameheane tu kweli!
Kwani kama kuna rushwa klitembezwa na alilijua hilo alikuwa wapi asiseme mud wote huo? Tena akiwa kama mbunge na alijinyamazie basi naye ni mshiriki ana la kujibu!
Shoda ni hoja ya ukweli alokuja nayo Mpina? Kwa nini wasishughulikie hoja iliyoko mezani? Kutafuta ukweli kwa manufaa ya waTanzania na sio mtu mmoja!?
Tekelezeni wajibu wenu acheni kutisha watoa hoja!.
Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Sio kweli.... na wewe unatumia ubongo wako kuamini hilo kabisa... uuze hotel kwa 3b kulipa deni la 300m ....hakuna taasisi ya kifedha ambayo ingeshindwa kumpa mtu 300m mwenye Collateral ya 6b... acheni kuwa wajinga wajinga wakati mnaakili timamu.Mpina akiwa Waziri aliwatesa sana watu wa kanda ya Ziwa.
Namkumbuka jamaa wa Mwanza aliyelazimika kuiuza hotel yake aliyoijenga kwa bilioni 6, akaiuza kwa bilioni 3 ili apate hela milioni 300 za kulipa kwa kile kilichotajwa faini ya uhujumu uchumi kwa vile kwenye underground floor ya hotel yake yalipatikana makokoro.
Baada ya kukaa mahabusu kwa zaidi ya mwezi, akaona aheri awape hiyo hela ili awe huru.
Naunga mkono Mpina awajibishwe. Na wakimmaliza Mpina, wamfuate Ridhiwani aliyebatilisha hati ya umiliki wa ardhi kumpa GSM ndani ya masaa 24 tangu aapishwe kuwa Naibu Waziri. Hapa napo kuna harufu ya rushwa kali sana!#mpinaAwajibishwe
Issue ni kuwa makundi hasimu ya Msoga na Chato aka Sukuma Gang yanajaribu kupimana nguvu kupitia watu wao. Kundi Msoga ni dhahiri limeshikilia mpini wa panga, na kama figisu wanazijua kweli, hao wengine wapo upande wa makali ya upanga.Issue hapa siyo Msukuma vs Mpina, bali ni nguvu ya Kipara wa Nishati kujilinda. In short Mpina komaa!. Nawe Msukuma inabidi watu wakutail usikute ulishapigwa mpunga na akina flan ili umtetee Kipara kwakuwa Kipara mwenyewe anawafavor sana hao akina flani. Think outside the box bros and sis
Huyu ni mlamba Asali hana Jipya!Mbunge wa Geita Vijijini Mh. Musukuma amehojiwa na chombo cha habari na kueleza kwamba wavuvi wa Ziwa Victoria waliombwa rushwa na Luhaga Mpina, wakati akiwa Waziri wa Uuvuvi, walipomnyima, basi alivunjavunja mitumbwi yao na kuchoma nyavu zao.
Baadhi wanakiri kumpa rushwa Luhaga Mpina TAKUKURU, hivi hili halitoshi kumuhoji na kumpeleka Mahakamani ili ikakate kiu ya haki ya wavuvi hawa?
Ulikuwa wapi, Msukuma na jiwe walikuwa karibu kwa nini akumripoti hatua ichukuliwe, mbona aliweza kumripoti mkurugenzi wa kahama, huyu alishindwa nini? Unafiki.Sio uongo aliosema msukuma hata huku kashagulu Kata ya kalya wilaya uvinza mkoa kigoma ziwa Tanganyika tuliombwa rushwa tuliokataa nyavu zilichomwa na kuchukua mashine zetu hadi lleo tunaamniwa tukazikomboe licha yakuwa na leseni na uvuvi halali tunamuomba mama aturudishie hakizetu mpina achunguzwe uonezi ulitumika iundwe tume