TAKUKURU mko wapi? Mbunge Musukuma asema wavuvi Kanda ya Ziwa walioombwa rushwa na Luhaga Mpina wako tayari kutoa ushahidi

Musukuma mbunge mpumbavu kupitiliza​

 
Msukuma nae mnafiki mkubwa tu Tena chawa wa kiwango Cha PhD alikuwa wapi siku zote kusema hayo?!!. Nchi hii haiendelei sababu chawa wamezidi.
 
Mpina ni muhalifu namba moja nchi hii
 
Luhaga mpina alitakiwa awe jera, ametesa sana watanzania huyu mtu,, we fikiria hadi akaitwa kichaa na mwendazake[emoji16]
 
Ndugu yangu alikamatwa na furu,, nasikia hizi ni tunu ya taifa, mpaka leo haijulikani aliishia wapi
 
Kwaaan wao kama ccm kwann wasimfukuze uanachama kama c mwadilifu hadi takukuru
 
Kwani kama kuna rushwa klitembezwa na alilijua hilo alikuwa wapi asiseme mud wote huo? Tena akiwa kama mbunge na alijinyamazie basi naye ni mshiriki ana la kujibu!
Kweli kabisa, na yeye ni mshiriki kwenye rushwa inabidi akajibu ni kwa nini alinyamazia information ya rushwa muda wote huo.
 
Issue hapa siyo Msukuma vs Mpina, bali ni nguvu ya Kipara wa Nishati kujilinda. In short Mpina komaa!. Nawe Msukuma inabidi watu wakutail usikute ulishapigwa mpunga na akina flan ili umtetee Kipara kwakuwa Kipara mwenyewe anawafavor sana hao akina flani. Think outside the box bros and sis
 
Hii nchi ya ajabu sana, Mpina ametimiza wajibu wake kama mbunge ameibua hoja yake imekuwa nongwa, kisa amemsema Makamba!! Huyu mbunge Msukuma anavyoropokaga angesikia Mpina amekula rushwa angenyamaza!!
 
Sio kweli.... na wewe unatumia ubongo wako kuamini hilo kabisa... uuze hotel kwa 3b kulipa deni la 300m ....hakuna taasisi ya kifedha ambayo ingeshindwa kumpa mtu 300m mwenye Collateral ya 6b... acheni kuwa wajinga wajinga wakati mnaakili timamu.
 
#mpinaAwajibishwe
Naunga mkono Mpina awajibishwe. Na wakimmaliza Mpina, wamfuate Ridhiwani aliyebatilisha hati ya umiliki wa ardhi kumpa GSM ndani ya masaa 24 tangu aapishwe kuwa Naibu Waziri. Hapa napo kuna harufu ya rushwa kali sana!

Naripoti kutoka Rubambangwe karibu na Hifadhi ya Taifa maarufu sana nchini Tanzania ya BURIGI - CHATO!
 
Issue ni kuwa makundi hasimu ya Msoga na Chato aka Sukuma Gang yanajaribu kupimana nguvu kupitia watu wao. Kundi Msoga ni dhahiri limeshikilia mpini wa panga, na kama figisu wanazijua kweli, hao wengine wapo upande wa makali ya upanga.

Katika vita ukishindwa kupambana na kumthibiti hasimu wako, ni heri ukaungana naye ili mambo yaishe.
 
Huyu ni mlamba Asali hana Jipya!
 
Msukuma alikuwa wapi? Ushujaa wa kijinga, unamlinda mtu, ukikosana nae uanze kusema madhaifu yake. Mie nashauri wa kwanza kuhojiwa na takukuru ni Dr Msukuma kwa kukalia taarifa, alikalia taarifa kwa maslahi ya nani. Ukimchunguza Msukuma anamambo ya kijinga, ilitokea kwa Lowassa, mtu amekuamini baadae kama jasusi unapeleka habari nje kwa kujipendekeza, ni ujinga!
 
Ulikuwa wapi, Msukuma na jiwe walikuwa karibu kwa nini akumripoti hatua ichukuliwe, mbona aliweza kumripoti mkurugenzi wa kahama, huyu alishindwa nini? Unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…