Uchaguzi 2020 TAKUKURU mnazuia ubwabwa mnawaacha wasanii?


ushindi wa kishindo
 
Uhuru, mzalendo, na vifungashio vya musiba na mwenzake Habibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwekee na ya TWAWEZA

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikiliza maelezo utagundua kitu

Mwisho alipisema "Kama uchaguzi ungefanyika leo, ....mshindi ni ( )

Hapo kwenye bold ndipo kwenye shida.
Maelezo ya mwanzo yanaashiria ni utafiti(endapo/kama), lakini mwisho sentesi hazifanani kuonesha hata jibu ni matokeo ya huo utafiti [emoji28]
 
Wanawarubuni wapiga kura kwa ahadi za barabara za lami,ajira 13,000 za waalimu,miradi ya Maji na vyeo Vingi serikalini.
 
Wanawarubuni wapiga kura kwa ahadi za barabara za lami,ajira 13,000 za waalimu,miradi ya Maji na vyeo Vingi serikalini.
Yaani mi bado nipo gizani, hivi kisheria hii imekaaje ya kuahidi miradi inayo hitaji rasilimali za serikali kutumika kwenye kampeini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…