TAKUKURU na CAG fuatilieni hili la Mkurugenzi wa UCC

TAKUKURU na CAG fuatilieni hili la Mkurugenzi wa UCC

Alieandika ameandika kama watu wanaogombania bwana na yeye kazidiwa nguvu na Huyo alieajiriwaa sasa anataka mamlaka zimtoe.ingekuwa Mimi natoa mkurugenzi nawaacha hawa nione watagombania nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari kuna sehemu kuna uongo...unasema senior officers wanalipwa 2.8, yeye analipwa 3.7 na CA analipwa 2.8 hapa ndipo kwenye walakini CA yaani Chief Accountant ni nafasi ya juu ya Senior Officers na pengine ni juu ya Principal Officer, iweje alipwe 2.8!!? Sawasawa na Senior Officers!? Pia mara nyingi watu wenye background za Finance na Accounts huwa wanaweza kuwa wakuu wa vitengo ama idara zenye Finance and Administration ilimradi chini yao wawe na msaidizi wa HR and Admins na Accountants. Inawezekana yanayoongelewa yapo ila kuna kupikwa sana kwa Taarifa. Nashauri Moderators waangalie habari kama hizi zenye kuwataja watu majina moja kwa moja kwani nyingine ni za kuchafuana kwa maslahi binafsi ama maslahi ya ndugu, rafiki au jamaa wa mleta mada. Taarifa kama hizi zikishaenda hewani hata kama ni uongo sio rahisi mtoa ripoti kuja hapa na kukanusha!! Hii ni defarmation na akipatikana mwanasheria mzuri hata JF wanaweza kushtakiwa kwa jambo hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada una muda mwingi wa kupoteza..acha kuuatilia watu,fanya yako..
 
Mleta uzi kitendo ulichofanya si cha kiuungwana na kinapaswa kulaaniwa, umewataja na kuwaanika huyo mama na mkuu wake kwa majina yao, kazi zao hadi viwango vya vya elimu mbele ya kadamnasi ili hali wewe umejificha nyuma ya keyboard yako. Masuala yote uliyoyasema ni tuhuma ambazo hazijathibitishwa hivyo hukupaswa kuwaweka hadharani wakati wewe jina lako na utambulisho wako umeuficha. Ni dhahiri kwamba huna nia njema, kama kweli ungekuwa na nia njema aidha ungeweka jina/utambulisho wako wewe na hao wenzako mnaowalalamikia au ungepeleka malalamiko yako moja kwa moja ofisi kuu za mamlaka kuliko kuwadhalilisha wenzako hapa wakati wewe umejificha.
 
Doctor Minja mtaalamu Nguli wa Finance & Accounts nimekukumbuka sana Mzee wangu FN 100 FN 101...
 
Mkuu issue hapa si mshahara mdogo bali ni ukiukwaji wa taratibu. kila taasisi ina taratibu na miongozo yake. Taratibu zilivunjwa ili kumpendelea mwana mama huyo. Kuna nini kimejificha hapo. Hiyo ndo hoja

Mkuu Fanfa, kwa hiyo kulingana na taratibu zilizopo tatizo hapo siyo cheo cha huyo dada bali ukubwa wa mshahara wake?
 
Hapo kwenye kiburi na dharau ni tatizo kubwa sana kwa wanawake walioajiriwa kwa mlango wa panya. Yaani anawaona nyie wengine kama takataka na ninahisi hicho ndicho kilichofanya mnyetishaji huyo kukupa taarifa kama hizo, kutokana na hasira.

Swala la mtu kupewa pesa nyingi nje ya scheme, kukosa cheti fulani, kufanya kazi amabayo hajaisomea, na mahusiano na bosi, vyote hivi watu wangevipotezea tu maana havina maana kwao, lakini kuwa onyesha dharau mpaka kufikia kupiga mtu, inatia hasira sana hasa ukizingatia mambo niliyoorodhesha hapo juu.

Mnyeti yuko sahihi kukupa hizi habari na mtoa mada upo sahii kuziweka wazi hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema mkuu. Wanaodai kuwa ni uongo ni vyema wakatoa ukweli wanaoujua. Lakini facts zitabaki pale pale. Mimi naamini TAKUKURU na CAG wanajua majukumu yako na ni wabobezi. Ukweli wataupata
 
Mkuu Fanfa, kwa hiyo kulingana na taratibu zilizopo tatizo hapo siyo cheo cha huyo dada bali ukubwa wa mshahara wake?
Issue kubwa hapa ni ukiukwaji wa taratibu na matumizi mabaya ya madaraka. mazingira yanatia shaka. Ilikuwaje apendelewe kiasi hicho tena nje ya viwangi vya mishahara iliyopitishwa na bodi
 
Mleta uzi kitendo ulichofanya si cha kiuungwana na kinapaswa kulaaniwa, umewataja na kuwaanika huyo mama na mkuu wake kwa majina yao, kazi zao hadi viwango vya vya elimu mbele ya kadamnasi ili hali wewe umejificha nyuma ya keyboard yako. Masuala yote uliyoyasema ni tuhuma ambazo hazijathibitishwa hivyo hukupaswa kuwaweka hadharani wakati wewe jina lako na utambulisho wako umeuficha. Ni dhahiri kwamba huna nia njema, kama kweli ungekuwa na nia njema aidha ungeweka jina/utambulisho wako wewe na hao wenzako mnaowalalamikia au ungepeleka malalamiko yako moja kwa moja ofisi kuu za mamlaka kuliko kuwadhalilisha wenzako hapa wakati wewe umejificha.
Mkuu mbona unakuja juu. Kwa nini ulifungua account JF, kwa hiyo hutaki upashwe habari. Ungejuaje kuwa kuna watu wanatumia vibaya madaraka yao. Unataka wana JF wakuimbie mapambio.
Kama unaona kuna uongo ni vyema ungetuambia ukweli ulivyo. Au ungeenda TAKUKURU uwaambie kuwa ukweli ni huu, kilichosemwa ni uongo. Mkuu usiwe mtetezi wa watu wanaofanya watakavyo wanapopewa madaraka.
 
Mkuu mbona unakuja juu. Kwa nini ulifungua account JF, kwa hiyo hutaki upashwe habari. Ungejuaje kuwa kuna watu wanatumia vibaya madaraka yao. Unataka wana JF wakuimbie mapambio.
Kama unaona kuna uongo ni vyema ungetuambia ukweli ulivyo. Au ungeenda TAKUKURU uwaambie kuwa ukweli ni huu, kilichosemwa ni uongo. Mkuu usiwe mtetezi wa watu wanaofanya watakavyo wanapopewa madaraka.
Mkuu alichokwambia jamaa ni ukweli mtupu,unaesema una info zake ni innocent till proven guilty na mahakama,
Imagine what if info hizo ulizopewa ni za uongo,huoni unamchafua mtu,
I always tell people na uzee wangu huu KARMA ni kitu cha ajabu sana,trust me one day itakurudia hili,am out.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii habari kuna sehemu kuna uongo...unasema senior officers wanalipwa 2.8, yeye analipwa 3.7 na CA analipwa 2.8 hapa ndipo kwenye walakini CA yaani Chief Accountant ni nafasi ya juu ya Senior Officers na pengine ni juu ya Principal Officer, iweje alipwe 2.8!!? Sawasawa na Senior Officers!? Pia mara nyingi watu wenye background za Finance na Accounts huwa wanaweza kuwa wakuu wa vitengo ama idara zenye Finance and Administration ilimradi chini yao wawe na msaidizi wa HR and Admins na Accountants. Inawezekana yanayoongelewa yapo ila kuna kupikwa sana kwa Taarifa. Nashauri Moderators waangalie habari kama hizi zenye kuwataja watu majina moja kwa moja kwani nyingine ni za kuchafuana kwa maslahi binafsi ama maslahi ya ndugu, rafiki au jamaa wa mleta mada. Taarifa kama hizi zikishaenda hewani hata kama ni uongo sio rahisi mtoa ripoti kuja hapa na kukanusha!! Hii ni defarmation na akipatikana mwanasheria mzuri hata JF wanaweza kushtakiwa kwa jambo hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rudia kusoma uelewe. Kila taasisi ina muundo wake usikalili. CA ni appointment, unaweza ukatolewa lakini utabaki na cheo chako cha senior Accountant officer. Ni vyema ukaeleza ukweli wako unaoujua, wenzako wana ushahidi mkononi wewe unapiga makerere kwenye keyboard. Unataka nimwage vielelezo hapa kwenye jamvi. Mhusika ndo atasema kama ni uongo na atatoa vielelezo vyake siyo wewe
 
Watu wameshanza kujinyea hapa hapa JF wengi wanaopinga hii kitu kuwa hapa wana upuuzi wao.

Kwa ujumla wakuu wa vitengo wenye mamlaka na hela huu uzi ni moto kwao.

Wengi wametumia nafasi hiyo kuuxxtomba dem yeyote idarani kugawa safari na post.

Sasa mavi yanagonga chupi.

Whistle Blowers watajitokeza wengi tu kila kona ya nchi mradi MODS wahakikishe usahihi kwa kuwasiliana na WB.

Well done MODS kwa ku encourage WB kujitokeza kuanzia ule unyanyanyasaji wa ki ngono.


We ulieleta umemaliza kazi subiri au fuatilia matokeo.

Wote ambao mavi yanagonga chupi tulieni ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu rudia kusoma uelewe. Kila taasisi ina muundo wake usikalili. CA ni appointment, unaweza ukatolewa lakini utabaki na cheo chako cha senior Accountant officer. Ni vyema ukaeleza ukweli wako unaoujua, wenzako wana ushahidi mkononi wewe unapiga makerere kwenye keyboard. Unataka nimwage vielelezo hapa kwenye jamvi. Mhusika ndo atasema kama ni uongo na atatoa vielelezo vyake siyo wewe
Mkuu point yangu ipo pale pale angalia tena maandishi yako! Umesema according to scheme of service of UCC Seniors Officers wakiwepo wahasibu na mahr hulipwa 2,865,000 lakini Chief Accountant ambaye kimsingi yupo juu ya masenior officers analipwa 2.5 m ama chini ya hapo na wakati huyo mama unayemtuhumu analipwa 3.7m huoni hapo kuna tango pori!!? Ndio maana nasema kama moderators wangekuwa smart wasingeruhusu huu upuuzi
Screenshot_2019-12-16-20-01-43.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu point yangu ipo pale pale angalia tena maandishi yako! Umesema according to scheme of service of UCC Seniors Officers wakiwepo wahasibu na mahr hulipwa 2,865,000 lakini Chief Accountant ambaye kimsingi yupo juu ya masenior officers analipwa 2.5 m ama chini ya hapo na wakati huyo mama unayemtuhumu analipwa 3.7m huoni hapo kuna tango pori!!? Ndio maana nasema kama moderators wangekuwa smart wasingeruhusu huu upuuziView attachment 1294323

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujanisoma vizuri. Nimeandika senior officers kwa KADA ya Accountants na HRA officers. Scale huwa ina minimum and maximum salary. Hivyo basi max salary kwa kada hizo mbili ni 2,865,000/-. Unaweza ukawa senior accountant na ukawa hujafikia max scale. Nikaongeza kuwa CA ni appointment tu, unaweza ukanyang'anywa na akapewa mwingine na ukaendelea kuwa senior Accountant officer. Nadhani umeelewa sasa
 
Back
Top Bottom