Huyu ni wivu tu.Hii inaitwa second hand information, umeambiwa na ww unatuambia, swali, Takukuru wakikuambia uthibitishe hii taarifa upo tayari ?? Takukuru wanafanya kazi scientifically , mtoa taarifa ndie anaeithibitishia, upo tayari ?
Kwani kuna sheria inazuia mtu kufanya kazi na mke au mpenzi wake,?
Yeye mke wake au mume wake kampata wapi? Kama sio shule,chuo au mahala pa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app