Nimekusoma hadi mwisho bila kupumua! Ahsante sana, mkuu 'TrueVoter'.Kwa hali hii ambayo nchi inapitia, uongozi mbovu, rushwa, ubinafsi, ufisadi, nepotism na vetting mbovu, uonevu nk tatizo ni TISS.
Siyo rahisi kuielewa jinsi ulivyoiweka.Soma tena kwa utulivu utaelewa ninachokisogeza mbele ya meza ya mfalme..
Na sasa nasikia humo maofisini watu hawakai ni uzembe uzembe na rushwa , hakuna usimamiziNimesoma ripoti yote hakuna la uongo hata moja
1. Kwenye hilo la NIDA mpaka 50 watu wanapokea.. Rushwa!
2. La mbagala hili lilishasemwa sasa! Mpaka namna tenda ilivyopatikana.. Rushwa!
3. La petrol kuna andiko limeichambua vizuri mno.. Rushwa!
4. La LATRA ni mulemule.. Rushwa..!
Ni rushwa ni rushwa ni rushwa mwanzo mwisho! Lakini si tunakumbuka angalizo la mkuu wa kaya kuhusu kula kwa urefu wa kamba? Dosari ilianzia hapo
Ni kweli4. Nauli za mabasi za LATRA.
Hivi mnajua mabasi yote ya mikoani katika stendi zote za mikoani wanachaji nauli zaidi ya zile zilizoidhinishwa na LATRA?!
USHAHIDI upo.
Hapa namaanisha hata LATRA na mapolisi wanalijua hilo. Je, ni fungu wanapewa au kuamua kuacha tu unyang'anyi huu uendelee?!
Nasisitiza iko hivyo, stendi zote, mikoa yote.
Nenda Dsm, Mwanza, Morogoro, Iringa, Dodoma, Tabora, Kagera, Mbeya, Arusha, Tanga, Mtwara, Kigoma, n.k, kote huko wana 'overcharge'.
Sasa kama watu wa mabasi wanaona nauli zilizopangwa ni ndogo, haziwapi faida, si bora LATRA ipitishe hizo hizo wanazolipishwa wananchi ili ifahamike moja.
Je, unataka kusema ripoti za haya zipo mezani kwa mh. Rais ila jinsi alivyo anajali watu wake kweli asichukue hatua.?!
Narudia ripoti hii ni kwa nia njema ya kujenga Taifa letu.
Ukweli huduma za umma zimezorota kiasi kikubwa, tusifiche tatizo na wananchi wengi wanaumia sana na hili.
Naomba kuhitimisha hapo kwa leo.
Karibuni wachangiaji kwa mengi zaidi.
Kubwa SanaKazi ipo
Msimlishe rais wetu maneno, kuhusu kamba haina uhusiano na rushwaNimesoma ripoti yote hakuna la uongo hata moja
1. Kwenye hilo la NIDA mpaka 50 watu wanapokea.. Rushwa!
2. La mbagala hili lilishasemwa sasa! Mpaka namna tenda ilivyopatikana.. Rushwa!
3. La petrol kuna andiko limeichambua vizuri mno.. Rushwa!
4. La LATRA ni mulemule.. Rushwa..!
Ni rushwa ni rushwa ni rushwa mwanzo mwisho! Lakini si tunakumbuka angalizo la mkuu wa kaya kuhusu kula kwa urefu wa kamba? Dosari ilianzia hapo
Nilidhani ni mimi peke yangu, kumbe wapo wengi!Ni mwaka wa 5 tangu nijiandikishe NIDA. Bado Sijapata Kitambulisho.
Kwa hiyo hata huku majirani zangu mtaani wanachokisema kuhusu urasimu wa NIDA ni uongo?KWA NINI UNAANDIKA UONGO, MAJUZI NIMEKWENDA OFISI ZA NIDA UKONGA, WAMEFANYIA PROCESS ZOTE FREE TENA KWA HARAKA WAMENIPA WIKI MBILI NIKACHUKUWE NAMBA, KWANZA ID ITAFUATA.
ACHENI UONGO NA UPOTOSHAJI.
KUna ule Mradi wa SGR unaoendelea kule Mwanza ambapo Mkandarasi Mchina anachakachua viwango vya ubora vya nguzo kwenye madaraja ya reli.Hawa jamaa wanaitwa SINOHYDRO ni Wala rushwa balaaa, Sasa viongozi wengi Sana wakifika wanapewa Chao wanaishia kupiga mkwara fake na kuondoka, mnakumbuka Yule DC Gondwe? Alienda akapiga mkwara Yule mbongo akawa anacheka TU?
Ujenzi wowote nchini ulio chini ya SINOHYDRO au STECOL (NDIO Huyo huyo SINOHYDRO) ni mibovu balaaa na hawajawahi kumaliza on time.
Wana kashfa za kuwanyanyasa wafanyakazi Sana na wale jamaa wa TAMICO hawana Cha kufanya.
Huu mradi wa BRT waliwahi kupata kashfa ya kutumia lami ambayo source yake ilikua nchi ambayo imewekewa vikwazo.
Na NDIO hawa hawa wamepewa SGR bila kutumia utaratibu wa manunuzi, yaani single source, Kuna siku Tanzania itaomboleza wallah.
Usalama wa Taifa wanatafuta vyeo CCMKUna ule Mradi wa SGR unaoendelea kule Mwanza ambapo Mkandarasi Mchina anachakachua viwango vya ubora vya nguzo kwenye madaraja ya reli.
Usalama wa Taifa wwmejaa kedekede pale na hakuna linalofanyika
Wamekuwa wafanyakazi wa mkandarasi😃KUna ule Mradi wa SGR unaoendelea kule Mwanza ambapo Mkandarasi Mchina anachakachua viwango vya ubora vya nguzo kwenye madaraja ya reli.
Usalama wa Taifa wwmejaa kedekede pale na hakuna linalofanyika
Wameona hata wakisema hakuna kinachofanyika.Wamekuwa wafanyakazi wa mkandarasi😃
Hili la nauli ni uongo wa mchana,mbona ushahidi haipo? Nimesafiri siku za karibuni mbona sijakutana na Hilo? Mbona watu wasilalamike?Ni usiku mnene. Naamua kuandika DOKEZO hili.
Kwa uchungu wa yanayoendelea katika nchi yangu.
Katika mada hii, nitaomba wachangiaji kujadili kwa uwazi kabisa, na kuongezea mifano mingine baada ya hii nitakayokuwa nimeiweka hapa.
Lengo ni Nia njema kabisa kurekebisha pale tulipokosea na kusaidia WaTz ambao wanakosa kufaidi matunda ya nchi yao.
Hapa chini ni jinsi ambavyo mambo ya ovyo yanafanywa wazi na TISS wala TAKUKURU hawafanyi kazi yao iliyotukuka.
1. NIDA na Utoaji wa NAMBA/Vitambulisho vya Taifa.
Hili jambo ni kubwa sana. Mimi nimelithibitisha. Na wote wanaofika kuhudumiwa katika ofisi zote za NIDA nchi nzima wanasema wazi.
Iko hivi, huwezi kufanikisha kupata namba ya NIDA ikiwa huna kiasi fulani cha fedha. Na huwezi kupata ile ID ikiwa huna kiasi kikubwa zaidi cha fedha.
Yani utaenda utafuata taratibu zote na kuwa na viambatanisho vyote, lakini huwezi kupata kimojawapo kati ya hivyo bila fedha. Kiufupi hadi mlinzi wa getini anajua hilo.
Baadhi ya Ofisi za NIDA DSM kupata namba ya NIDA inaanzia sh. 150,000/-. Kupata ID ni kuanzia sh. 500,000/-
Lakini kadri utakavyoongeza dau maana yake utawahishiwa zaidi mchakato wako.
Kwanza hakuna huduma pale, zaidi ukifika upangwe foleni na walinzi, ukiingia unakuta mtu anachat tu, hadi jioni uambiwe njoo tena kesho.
Haya yana muda mrefu yanafanywa wazi kabisa. Hatari hii ni kwamba sasa hata mgeni je, akiwa na milion zake mbili si anapewa zake ID kama MTz??
Mh. Rais wetu ni msikivu, je, ulishasikia amepewa ripoti hii akashindwa kuifanyia kazi?!
Nani wa kumpelekea ripoti kama sio TISS?
2. Mradi wa mwendokasi Mbagala
Huu mradi nendeni mchunguze, ni mbovu na umejengwa chini ya viwango vibaya mno.
Uchunguzi unaonesha baadhi ya miundombinu kuanza kuharibika hata kabla ya matumizi rasmi kuanza.
Wasichokijua ni kwamba hii miradi ya miundombinu ya barabara huwa na zaidi ya miaka 20 ya uhai kabla ya marekebisho.
Sasa ukifika pale ukakuta baadhi ya beacon zimeanguka, kumeguka, n.k, Unajiuliza shida ni nini? Bajeti ndogo ya ujenzi? Lakini hilo linakataa kwa sababu hizi fedha ni mkopo tumepata kutoka Benki ya Dunia (WB), hawawezi kutenga fedha chini ya inayotakiwa.!
Sasa vile vituo vya abiria ndio utacheka kabisa. Mabati ni chini ya viwango, hizo frame walizichomelea ni chini ya viwango, uchomeleaji wenyewe ni wa dizaini za fundi maiko.
Hata wakibisha, nawahakikishieni, barabara ya mwendokasi ya Posta KIMARA itadumu, na hii ya Mbagala itakuja kuharibika mapema kabla yake. Tuko hapa mtakuja kuthibitisha panapo uhai.
Sasa kwa hali hii, utasema Rais wetu alivyo msikivu, ana hii ripoti mezani kweli? Na hatujasikia akichukua hatua zozote?
3. UHABA wa Petroli sasa hivi nchini.
Hapa siandiki sana.
Fahamuni kwamba mafuta yapo. Si mlisikia hata Waziri anasema hakuna upungufu wa petrol. Si amesema mara nyingi tu!
Sasa Mimi na wewe tuulizane, Waziri anasema yapo, vituoni ukifika hakuna, yapo wapi? Eeh...
Jamaa wana mafuta, ila hawatoi kuyauza. Wanasubiri bei mpya za August, zipande usiku wa leo tarehe 31/07/2023 ndio wataanza kutoa mafuta.
Sasa "syndicate" ya namna hii, hapo unasema TISS wapo na wananchi, au wametuma ripoti Rais hajachukua hatua?!
Achaneni na mambo ya ooh Dola $ kuadimika, hiyo inaathiri uagizaji wa mzigo mpya. Sio stock iliyopo ambayo huagizwa miezi mitatu au zaidi nyuma.
4. Nauli za mabasi za LATRA.
Hivi mnajua mabasi yote ya mikoani katika stendi zote za mikoani wanachaji nauli zaidi ya zile zilizoidhinishwa na LATRA?!
USHAHIDI upo.
Hapa namaanisha hata LATRA na mapolisi wanalijua hilo. Je, ni fungu wanapewa au kuamua kuacha tu unyang'anyi huu uendelee?!
Nasisitiza iko hivyo, stendi zote, mikoa yote.
Nenda Dsm, Mwanza, Morogoro, Iringa, Dodoma, Tabora, Kagera, Mbeya, Arusha, Tanga, Mtwara, Kigoma, n.k, kote huko wana 'overcharge'.
Sasa kama watu wa mabasi wanaona nauli zilizopangwa ni ndogo, haziwapi faida, si bora LATRA ipitishe hizo hizo wanazolipishwa wananchi ili ifahamike moja.
Je, unataka kusema ripoti za haya zipo mezani kwa mh. Rais ila jinsi alivyo anajali watu wake kweli asichukue hatua.?!
Narudia ripoti hii ni kwa nia njema ya kujenga Taifa letu.
Ukweli huduma za umma zimezorota kiasi kikubwa, tusifiche tatizo na wananchi wengi wanaumia sana na hili.
Naomba kuhitimisha hapo kwa leo.
Karibuni wachangiaji kwa mengi zaidi.
Maeneo machache yakiwa na shida sio lazima Rais Kuna Waziri wa Ujenzi au PM wanaweza shughulikia.Mtag mheshimiwa Rais moja Kwa moja Ili asikie na kusoma mwenyewe, hizi habari za kupelekewa ni za kidwanzi
Yeye mwenyewe alishasema huwa anapita humu
Majinga kama wewe ndio hasara Kwa Taifa,Kwa hiyo Kila mtu ana ID ya NIDA nchii hii?Kila aliyeenda kwenye ofisi zao amepata hicho kitambulisho au namba?KWA NINI UNAANDIKA UONGO, MAJUZI NIMEKWENDA OFISI ZA NIDA UKONGA, WAMEFANYIA PROCESS ZOTE FREE TENA KWA HARAKA WAMENIPA WIKI MBILI NIKACHUKUWE NAMBA, KWANZA ID ITAFUATA.
ACHENI UONGO NA UPOTOSHAJI.
Labda hii kampuni Ina mkono wa viongozi wa Serikali, Viongozi wa Mkoa wapige kelele zaidi ,Yale Yale ya Mayanga Construction.Hawa jamaa wanaitwa SINOHYDRO ni Wala rushwa balaaa, Sasa viongozi wengi Sana wakifika wanapewa Chao wanaishia kupiga mkwara fake na kuondoka, mnakumbuka Yule DC Gondwe? Alienda akapiga mkwara Yule mbongo akawa anacheka TU?
Ujenzi wowote nchini ulio chini ya SINOHYDRO au STECOL (NDIO Huyo huyo SINOHYDRO) ni mibovu balaaa na hawajawahi kumaliza on time.
Wana kashfa za kuwanyanyasa wafanyakazi Sana na wale jamaa wa TAMICO hawana Cha kufanya.
Huu mradi wa BRT waliwahi kupata kashfa ya kutumia lami ambayo source yake ilikua nchi ambayo imewekewa vikwazo.
Na NDIO hawa hawa wamepewa SGR bila kutumia utaratibu wa manunuzi, yaani single source, Kuna siku Tanzania itaomboleza wallah.
LATRA kuna uozo, ushahidi ninao mwingi tu.Sio msikivu!!!!!!! Hakuna kitu asichojua, rushwa ni hatari, ukienda pale Latra Oysterday, pana mwavuli kuna wala rushwa officially wanangoja wateja.
Ukiingia ndani, kuna kijana pale anakwambia kabisa nenda hapo nje bla bla, ukigoma wanapiga simu hata kupa inspection copy wanakaza.
Hii nchi inanuka rushwa, mimi huwa sito rushwa 100%, mazila ninayokutana nayo ni hatari, anajua Mungu peke yake.
A very serious problem but no one caresLabda hii kampuni Ina mkono wa viongozi wa Serikali, Viongozi wa Mkoa wapige kelele zaidi ,Yale Yale ya Mayanga Construction.
Mbona kampuni zingine zinaogopa sana kurudia kazi?