TAKUKURU nawatafuteni katika ' Vijiwe ' vyangu Mbeya Mjini, Kawe na Kigamboni mbona siwaoni Mkiwajibika?

TAKUKURU nawatafuteni katika ' Vijiwe ' vyangu Mbeya Mjini, Kawe na Kigamboni mbona siwaoni Mkiwajibika?

Uzalendo gani kwa wanasiasa wanaotumia umasikini wa wananchi kufanikisha malengo yao kisiasa? Nafikiri okoa muda na wakati nitajie mbunge wa eneo lako,muda gani aliokaa kwenye nafasi yake na kero azizozitatua kwa jamii kisha utupe sababu kwanini unadhani anafaa tena kuaminiwa na kwanini hafai kupewa nafasi tena...Hii unayoita rushwa hata wakuu wa chama chako wanatoa ila kwa namna ambayo imewekwa wakfu kutoonekana rushwa.

Kwahiyo hiyo Takukuru iko kwa ajili gani?
 
Nikiwa kama ' Mzalendo ' wa nchi hii pendwa na tukuka kabisa ya Tanzania nadhani Kisheria nina Wajibu wa Kutoa Mawazo yangu ya Kimtazamo na ikibidi hata Kuwasaidia Wahusika hasa Mamlaka zenye Dhamana ya Haki na Usawa nchini katika Kutekeleza Majukumu yao mema kwa Ustawi wa Amani na Demokrasia ya Tanzania.

Nitashangaa sana kama Mimi Mtu ' Mdogo ' tu GENTAMYCINE nisiye na chochote cha Umuhimu kama waliona wengine niweze Kupata ' Fununu ' za Utoaji Rushwa wa waziwazi unaoratibiwa vyema na ' Umafia / Ungendembwe ' unaofanyika katika Majimbo ya Mbeya Mjini, Kawe na Kigamboni halafu Wahusika ( Mamlaka ) ya Kisheria TAKUKURU Wao wasiwe na ' Fununu ' hizo.

Nawaomba sana TAKUKURU kupitia TCRA ikiwapendezeni hebu fanyeni ' Mshtukizo ' wa Kukamata Simu za ' Watia Nia ' wote wa Ubunge kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi hasa wa ' Majimbo ' yangu haya Tajwa Matatu ya Mbeya Mjini, Kawe na Kigamboni ambayo nimeyachagua kuwa ndiyo ' Majimbo ' nitakayoyakodolea mno Macho kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu wa 2020.

Mkimaliza Kukamata Simu zao nawaombeni TAKUKURU upesi sana Kamateni na za Wake zao hadi za Madereva wao wa Magari kwani kuna yanayoendelea huko hasa kwa njia za ' Miamala ' ambapo kuna Fedha zinahamishwa ' Kiholela ' kutoka kwa ' Wenye Tamaa ' zao kwenda kwa ' Wajumbe ' ambao kwa sasa ndiyo wamekuwa ' Miungu Watu ' kwa jinsi wanavyonyenyekewa.

Kuna Watu wangu Watatu wapo Mbeya Mjini, Kawe na Kigamboni kuweni makini sana na huo ' Upuuzi ' wenu nisiwasemee kwa Mwenyekiti JPM.
Pesa ya Gwajima anayo mwenye hiyo namba 0713942322 na kule Kigamboni huyo mwenye namba 0715481628 Deo hao na wenzao wengine ndiyo mkiwachunguza mtabaini vingi vioja kwenye kura za maoni
 
Pesa ya Gwajima anayo mwenye hiyo namba 0713942322 na kule Kigamboni huyo mwenye namba 0715481628 Deo hao na wenzao wengine ndiyo mkiwachunguza mtabaini vingi vioja kwenye kura za maoni

Ninashukuru kwa Kutangulia ' Kuniumbulia ' Watu Mkuu. Naomba tumsaidie Rais Magufuli na hawa TAKUKURU kwani sasa ' Rushwa ' inaendelea.
 
Muda si mrefu nimemuona ' Kijana ' Mmoja maarufu sana ndani ya CCM na amepewa Ukuu wa Bendi fulani fulani ndani ya Chama ametoka na Gari moja hivi aina ya Mark II wameelekea usawa wa Ofisi za Diwani Kawe na kuna Watu kadhaa wameonekana nae akiwa hapo na hilo Gari wakipanga ya Kuyapanga. Huyo ' Kijana ' kwa sasa ' ametia nia ' ya nafasi ya Udiwani japo bado ' anatamba ' kuwa akiukosa basi atakuja Kugombea ' Umeya ' wa Kinondoni na ana uhakika atashinda.

TAKUKURU mpo!
 
Endelea kubwabwaja wakati wanaume wenzio wanatafuta ugali wa familia
 
Back
Top Bottom