Gwajima anamaanisha mwenyekiti wa chama chake amekula hongo? ili madai ya Gwajima yawe na uzito lazima yaambatane na ushahidi, sio ataje majina tu, hivyo hatakuwa na tofauti na Bashite.
Issue ya chanjo feki akiambiwa athibitishe sijui atafanyaje, hapa anaiweka serikali ya chama chake matatizoni isiaminiwe na wananchi sababu ya mdomo wake asiojua kuufunga.
Huyu mtu kama alidhani anaweza kuwa Askofu halafu afanye na siasa kwa wakati mmoja amekosea, atapasuka msamba siku sio nyingi zijazo.