Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #41
Kuna watu waliahidi kuhudhuria kampeni zake siku zote, iwe mvua iwe jua.Mpaka mzee Rungwe wanamwonea wivu duh kweli Tz tunasafari ndefu bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu waliahidi kuhudhuria kampeni zake siku zote, iwe mvua iwe jua.Mpaka mzee Rungwe wanamwonea wivu duh kweli Tz tunasafari ndefu bado
Kna mtu atakuja kuahidi ngono, hapo ikoje?sera lazima iendane na vitendo , hakuna cha rushwa hapa , MH RUNGWE kamatia hapo hapo
Tatizo jaribu kulielwa, ni PrinciplesKweli nimeamini, kwenye vita usipuuze adui yako yeyote. Hivi kweli Hashimu Rungwe na ubwabwa wake ni tishio la kumshinda mtu yeyote kwenye kinyang'anyiro cha urais?
Mkuu una argue na irrelevancies!!!Vipi na ile ahadi ya ajira za walimu wiki ijayo? Tukumbushane kidogo nani kaitoa kwa lengo gani? Kama Rungwe lengo lake ni kuwa watu washibe na wasikilize vizuri, hizi ajira nazo? Kama Rungwe asitoe ubwabwa kipindi hiki cha uchaguzi kwa nini hawa wa kijani wasilazimishwe kutoa hizo ajira mwakani sio kipindi hiki cha uchaguzi ambapo kwa sasa ni rushwa?
Kwa kweli umasikini kama mtaji wa kura ni dhahiri!!Wanaona aibu nchi ya kipato cha kati wananchi wake wanakusanywa kwenye kampeni kwa wali nyama, Waache Wananchi wafaidi Maana ikipita ndio mpaka 2025
mkuu vipi alietoa ajira 13000 ya walimu ndani ya kipindi cha kampeni unasemaje, pia umelinganisha vitu viwili tofauti ukilinganisha na uchaguzi, ngono na lishe ya kushiba wapi na wapiKna mtu atakuja kuahidi ngono, hapo ikoje?
Mkuu satisfying the body na ngono ni category moja hiyo!mkuu vipi alietoa ajira 13000 ya walimu ndani ya kipindi cha kampeni unasemaje, pia umelinganisha vitu viwili tofauti ukilinganisha na uchaguzi, ngono na lishe ya kushiba wapi na wapi
mkuu acha uongo msosi ni basic ukikosa unakufa vipi usipofanya ngono utakufa ?Mkuu satisfying the body na ngono ni category moja hiyo!
TAKUKURU haiweze sema BURUDANI inayotolewa ni Rushwa sababu wasanii wooote wanatumika na FISIEMUVipi waneokwenda kwenye kampeni kwajili ya wasanii??
mkuu umeniwai tatizo makosa wanayaona wakifanya chauma lkn kosa la ccm halionekani hata kwa darubiniVipi na ile ahadi ya ajira za walimu wiki ijayo? Tukumbushane kidogo nani kaitoa kwa lengo gani? Kama Rungwe lengo lake ni kuwa watu washibe na wasikilize vizuri, hizi ajira nazo? Kama Rungwe asitoe ubwabwa kipindi hiki cha uchaguzi kwa nini hawa wa kijani wasilazimishwe kutoa hizo ajira mwakani sio kipindi hiki cha uchaguzi ambapo kwa sasa ni rushwa?
mkuu nihiyo chama chake ni kidogo ila anasera nzuri tu ukimsikilizaKweli nimeamini, kwenye vita usipuuze adui yako yeyote. Hivi kweli Hashimu Rungwe na ubwabwa wake ni tishio la kumshinda mtu yeyote kwenye kinyang'anyiro cha urais?