TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

TAKUKURU: Uchunguzi sakata la Kangi Lugola na wenzie umekamilika. Jalada linapelekwa kwa Mwendesha Mashtaka (DPP)

Kuweni wapole. Kwanini mnataka Kangi lazima apelekwe sasa hivi ndani.
Atapelekwa tu kashaelekezwa kibla.
Acheni unaa.
 
Ndio hapo sasa, halafu hao akina kabendera wamefahamu tuhuma zao baada ya kukamatwa(kutekwa),
tatizo hawa waandishi wa habari wa kwetu ni makanjanja tu. Nobody posed a challenging question to the Takukur Boss!! Lugemalila, Tito, Kabendela walionyesha dalili kuwa watatoroka? Eti hawa 17 hawakuonyesha dalili za kutoroka ndiyo maana wako nje. Mlaaniwe takukuru
 
Pole sana Kang a.k.a mzee wa mauno!

Maisha haya... leo Imaam, kesho mwanaharamu. gadem!

Ofkoz in life, shits happen. You have to expect the unexpected!

What's up Musiba.

-Kaveli-
 
Yaani kama kuna maudhi ni haya. Unasema; Hatuwezi kuwaweka ndani kwenye mahabusu zilizojaa wakati tukiwataka tunawapata ngonjera hizi zipelekeni kuleee chekechea.

Iwapo mtu alifiwa na mamake mzazi, mkamnyima kwenda tu kuuaga mwili wa mamake huku bado uchunguzi unaendelea, hivi hizi dhambi tutakwenda nazo wapi? Huku unajiita Yohana au Paulo. Nadhani mtakataliwa hata kuuona mlango wa mbingu unavyofanana.

Wawekeni basi hata "Under house arrest" Kwa kuwa jela kumejaa.
 
Kibaka aliyekwapua kifaranga cha kuku upelelezi wake unafanyika wakati yuko tayari ndani kunyea debe,mtuhumiwa wa matrioni upelelezi wake unafanyika akiwa nje akitumbua na familia yake na hakuna intelejensia yoyote inayoonyesha kuwa mtuhumiwa akiwa anaendelea kuhojiwa akiwa nje anaweza akaharibu upelelezi.
 
Tunataka kuona wako ndani ndio tuamini,makosa ya uhujumu uchumi hayana dhamana! Mbona wengine uchunguzi unaendelea wakiwa ndani?Iweje hawa uchunguzi uendelee wakiwa nje?

Double standard
Eti mahabusu pamejaa sana hata marekani wanapelekaga watu mahabusu upelelezi ukikamilika Mh.Hii ni story ya kufikirika au ni nini hii.Applicable kwa mafisiem tu, wengine haiwahusu.Ni vizuri umetufahamisha hivyo na sisi tulifahamu hivyo, lakini ikawa inakwenda kinyume.Ahsante rudisha sheria kwe
Birds! Stigila, Standadi geiji reilwei... S(th)ubutu, nani , IMMUNITY

Sent using Jamii Forums mobile app
Na vivuko vya barabara vikaitwa flyoffer.Du
 
Kwann hawajachunguza wanasiasa wa upinzani wanajiunga ccm na wengi wao wamepata bahashishi ya kugombea ubunge tena lakin wengine wamepewa uwaziri ama unaibu waziri?
 
Sasa kibaka asiyekuwa na address utampata wapi?
Sema tu kuwa kuna uonevu, kuna watu kama akina Sioy wananyea ndoo miaka mingi na uchunguzi haujakamilika
Kibaka aliyekwapua kifaranga cha kuku upelelezi wake unafanyika wakati yuko tayari ndani kunyea debe,mtuhumiwa wa matrioni upelelezi wake unafanyika akiwa nje akitumbua na familia yake na hakuna intelejensia yoyote inayoonyesha kuwa mtuhumiwa akiwa anaendelea kuhojiwa akiwa nje anaweza akaharibu upelelezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunataka kuona wako ndani ndio tuamini,makosa ya uhujumu uchumi hayana dhamana! Mbona wengine uchunguzi unaendelea wakiwa ndani?Iweje hawa uchunguzi uendelee wakiwa nje?

Double standard
Eti mahabusu pamejaa sana hata marekani wanapelekaga watu mahabusu upelelezi ukikamilika Mh.Hii ni story ya kufikirika au ni nini hii.Applicable kwa mafisiem tu, wengine haiwahusu.Ni vizuri umetufahamisha hivyo na sisi tulifahamu hivyo, lakini ikawa inakwenda kinyume.Ahsante rudisha sheria kwe
Matunda ya Kumtumikia Shetani.

Kuna takataka nchi hii ukiwaambia wapiganie USAWA wao wanawaza CHADEMA au ACT watafaidi.

#RIPAkwilini
Andengenye unavuna ulichopanda Arusha, miaka ile,ukidai kupambana na CHADEMA nadhani utakumbuka kilichotokea.Yatima na wazee walioachwa na vijana wao,baada ya amri yako.(wapigwe) Ibada ya maziko ya huzuni yakafanyika uwanjani bado wanalia kwa uchungu ulichoamuru kifanywe na...........pale stendi Arusha ukisingizia na viwanja vya Soweto na maeneo mengine meeeeengi Arusha na mengi aliyofanyiwa mbunge kwa amri kutoka kwako ndivyo hivyo vinakufuata sasa.Vijana wa Arusha hawatakaa wasahau matukio hayo.
Pambana na hali yako baba.

Uliambiwa piga,ua, wafanyie chochote ulichotaka na ukafanya, sasa na wewe ni zamu yako.Hakuna dhambi ya kuonea inayomwachaga mtu hivi hivi lazima atakwenda na maji.Karibu sana........Cheo ni dhamana baba.
 
Kaka nakujibu wewe kwa sababu wachangiaji wote wame miss the point.
Ni hivi hebu soma hio point ya mwisho ya pride. Eti kuna watu walikopa $m 20 za kwenda kufungua kiwanda cha saruji lindi.
NAONA YOTE HAYO MENGINE NI SINEMA TUU.ujumbe ndo huo wa kiwanda cha saruji lindi. ...
Mwenye akili haambiwi tazama..
 
Kuna sehemu mbili za Kangi Lugola

1. Kwa upande wa kupinga madhila ya Polisi hilo alisimamia na ndicho chanzo cha kumchukia.
''Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni''

2. Kangi ana suti zenye mifuko ya bendera akitembea na ilani ya CCM. Hili linaacha swali moja muhimu

Huyu 'Mzalendo' anawezaje kufanya manyau nyau tunayosikia?

Kangi ametengua kitendawili cha Uzalendo , kwamba, uzalendo si kauli wala mavazi bali ni mguso wa mapenzi ya mtu na nchi yake bila kujali kavaa nini, kashika nini, ni wa chama gani n.k.!

Pascal Mayalla JokaKuu Mindi
 
Back
Top Bottom