DOKEZO TAKUKURU Wakamateni Sheikh, Alhad Mussa Salum, RITA, Mkurugenzi, Ardhi na Polisi kwa kuvunja Msikiti wa Mwenge kwa Mabavu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bakwata hii iliyoundwa na serikali kwa manufaa ya serikali yenyewe sio chombo cha kutetea waislamu pamoja na uislamu wenyewe wapo pale kwa ajili ya kushibisha matumbo yao na kutekeleza maagizo ya wale wafadhili wao.
Umefika wakati waislam tupaze sauti kuikana hii Bakwata ya mchongo hao jamaa ni walafi sana kwani wameuza mali nyingi za wakfu kinyume kabisa na uislamu unavyoelekeza matumizi ya mali zilizotolewa kama wakfu.
 
Dah, inasikitisha,hapa kutakuwa na pesa imetembea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…