DOKEZO TAKUKURU Wakamateni Sheikh, Alhad Mussa Salum, RITA, Mkurugenzi, Ardhi na Polisi kwa kuvunja Msikiti wa Mwenge kwa Mabavu

DOKEZO TAKUKURU Wakamateni Sheikh, Alhad Mussa Salum, RITA, Mkurugenzi, Ardhi na Polisi kwa kuvunja Msikiti wa Mwenge kwa Mabavu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Dah, inasikitisha,hapa kutakuwa na pesa imetembea tu
Hilo si la kuuliza hao jamaa ni walafi waliopindukia,miaka ya tisini waliuza nyumba ya Wakfu walidai imeuzwa kwa milion 20 lakini cha ajabu aliyeinunua alikwenda kuchukulia mkopo benki wa tshs milioni 200 na nyumba ikiwekwa kama dhamana tena bila hata kuifanyia ukarabati wowote tuhuma hizo zilitolewa na Sheikh Yahya Hussein basi walimshikia bango kupitia mfadhili wao hadi wakaifutia usajili taasisi yake ya Baraza kuu la kuendeleza koran Tanzania (Balukta) na yeye akapigwa mkwara basi kuanzia hapo akaanza kuwa chawa wa Serikali hadi umauti ulipomfikia
Pia miaka ya katikati hapo walimuuzia Manji eneo la Chang'ombe kwa milioni 80 na baadaye Manji aliliuza hilo eneo kwa bilioni na kitu,hii maana yake kuna fedha nyingine wamekula.
Nina uhakika hata ule msikiti uliojengwa pale makao makuu yao wangepewa pesa taslimu wajenge wenyewe ungeishia ghorofa moja tu.
 
Mbona hiyo barua inaonyesha kibali kilisitishwa cha ujenzi wa MADUKA na MSIKITI baada ya kuvunja msikiti wa zamani, issue hapo ni nini hasa mkuu...kiwanja kimeuzwa? au amepewa mwekezaji bila kushirikisha wenye msikiti maana bango la ujenzi linaonyesha CLIENT ni Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre which means kiwanja bado ni mali ya Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre
 
Salaam Wakuu,

Jamani tunaomba msaada, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atatutoa roho.

Baada ya rais Samia kuingia Madarakani, wale watu wa pesa inaongea Wamerudi kwa kasi ya ajabu. Mtu mwenye pesa sasa anaweza kufanya chochote na usimfanye kitu.

Katika Mkoa wa Dar Es Salaam kuna Taajiri amewaweka mfukoni Watendaji wote wa Wilaya ya Kinondoni hawa Wakina Gondwe.

Kipindi cha nyumba, kuna Tajiri alitaka kununua Msikiti ili ajenge maduka, Bodi ya Wadhamini ya Msikiti Wakamkatalia. Ikabidi Tajiri huyo amtumie Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ambaye alitetengeneza Bodi mpya ya wadhamni wasio hata waumin wa Msikiti ili Waweze kumuuza Tajiri na Wakafanikiwa. Kumbuka Msikiti unamilikiwa na Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre. Hakuna aliyeshirikishwa kwenye Uteuzi wa Bodi Mpya.

Waumini Walilalamika RITA, Ardhi na kwa Mkurugenzi wa Kinondoni bila mafanikio.
View attachment 2359556
Wakashangaa Hati ya jengo wanayo wao lakini wakashangaa Msikiti unavunjwa na kuanza kujengwa Maduka. Walipojaribu kuzuia, Wakaitwa Polisi wa Oysterbay wakawakamata wote walioonekana kulalamika na kuwekwa ndani bila dhamana. Walikaa sana Polisi kwa kosa la kifanya fujo Msikitini. Aliyekua Msimamizi Mkuu wa Msikiti akafa kifo cha gafla kwani aliteswa sana na Polisi wakitaka aoneshe hati ya kiwanja ilipo kwani aliwanyima.

Je, Tajiri aliwezaje kununua sehemu na kujenga bila ya kuwa na hati?

Je, Kwanini Bodi ya Wadhamni iliundwa haraka bila kufuata kanuni?

Kwanini Polisi Wawashikile watu na kuwanyima dhamana hadi uzio uwekwe?

RITA WALIFIKA KUKAGUA MALI ZETU LAKINI HADI LEO HAWATUPI MREJESHO
View attachment 2359599
Kwanini RITA pamoja na kuja sehemu ya tukio, mbona hawajasitisha ujenzi?

Je kwanini Mkurugenzi alisimamisha ujenzi, lakini baada ya mhusika mkuu kufariki akaruhusu ujenzi uendelee?

Hawa waumini wanatishiwa kubambikizwa kesi ya Ugaidi.

Hapa chini naweka Ushahidi
View attachment 2359543
Hii hapa ni OB ya Polisi waliokamatwa kisa wanazuia Msikiti wao Usibomolewe. Huruma za Polisi ACP Ramadhan Kingai ndo zilifanywa Waachiliwe baada ya kuhoji sababu ya kuwashikilia bila dhamana wala kupelekwa mahakamani. Ni baada ya kuelezwa kilicho nyuma ya pazia.
View attachment 2359556
Hii ni barua iliyowataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini(RITA) na BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kufika mbele ya Mkuu wa Wilaya ili atatue mzozo huu lakini hawajatokea kila Walipoitwa.
View attachment 2359571View attachment 2359570
Hii ni kibali cha kusimamisha Ujenzi, wiki mbili baada ya alokuwa anatetea Msikiti usibomolewe kufariki, Wakakihuisha
View attachment 2359582View attachment 2359583View attachment 2359581
Na hiii ni hati halali waliyopewaTaasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre ambayo hadi sasa bado wanayo, ila mtu mwingine kaja kabomoa Msikiti na Kujenga Maduka chini ya Usimamizi wa Polisi. Hawana hata Umiliki.
View attachment 2359584View attachment 2359585
Na huu ni Uthibitisho wa Serikali za Mtaa kutoelewa kunachoendelea mtaani kwake
View attachment 2359588View attachment 2359587
Na haya ndo Maduka yanayojengwa sehemu ulipokuwa Msikiti Mwenge mbele ya Magorofa ya Jeshi barabara ya TRA

Tunaomba Serikali Sikivu ya Mama Samia iingilie Kati swala hili. Bado naamini Godwin Gondwe anao uwezo wa kutatua mgogoro huu japo haoneshi jitihada zozote kuhakikisha hili swala linaisha.

Mkuu wa Mkoa Makalla sababu ni rafiki yake na Sheikh Salum, kila siku anasema yupo busy.
Poleni sana,umoja wenu dhidi ya wala rushwa ndiyo utawapa ushindi.Lakini mliyobaki ktk mapambann ya kudai haki wenzenu wakimezwa na rushwa kwisha.
 
Mbona hiyo barua inaonyesha kibali kilisitishwa cha ujenzi wa MADUKA na MSIKITI baada ya kuvunja msikiti wa zamani, issue hapo ni nini hasa mkuu...kiwanja kimeuzwa? au amepewa mwekezaji bila kushirikisha wenye msikiti maana bango la ujenzi linaonyesha CLIENT ni Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre which means kiwanja bado ni mali ya Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre
Mwenge Mosque & Islamic centre chini ya Baraza la wadhamini feki(mamluki)!
 
Mbona hiyo barua inaonyesha kibali kilisitishwa cha ujenzi wa MADUKA na MSIKITI baada ya kuvunja msikiti wa zamani, issue hapo ni nini hasa mkuu...kiwanja kimeuzwa? au amepewa mwekezaji bila kushirikisha wenye msikiti maana bango la ujenzi linaonyesha CLIENT ni Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre which means kiwanja bado ni mali ya Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre
Naona umeamua kosoma barua moja. Hapo kuna barua mbili. Soma tarehe ya kusitisha lini na tarehe ya kuhuwisha lini. Baada ya mzee aliyekuwa anasimamia Msikiti kufariki kwa kifo kisichojuliakana, ndipo wakahuwisha. Soma tena urudi kunielewesha wapi hujaelewa. Hiyo Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre imeandikwa tu ila sio wao. Ni Magumashi ili ionekane wanahusika. Wasingelalamika
 
Mbona hiyo barua inaonyesha kibali kilisitishwa cha ujenzi wa MADUKA na MSIKITI baada ya kuvunja msikiti wa zamani, issue hapo ni nini hasa mkuu...kiwanja kimeuzwa? au amepewa mwekezaji bila kushirikisha wenye msikiti maana bango la ujenzi linaonyesha CLIENT ni Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre which means kiwanja bado ni mali ya Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre
Milki ya kiwanja bado ni ile ile, kwa mujibu wa bango la ujenzi.
Sasa sijui huyo aliyeuziwa alinunuaje, na anajengaje bila kubadilisha umiliki wa kiwanja,
Tungepata maelezo ya upande wa pili wa huu mgogoro, tungejadili kwa haki,
 
Hilo si la kuuliza hao jamaa ni walafi waliopindukia,miaka ya tisini waliuza nyumba ya Wakfu walidai imeuzwa kwa milion 20 lakini cha ajabu aliyeinunua alikwenda benki wa tshs milioni 200 bila hata kuifanyia ukarabati wowote tuhuma hizo zilitolewa na Sheikh Yahya Hussein basi walimshikia bango kupitia mfadhili wao hadi wakaifutia usajili taasisi yake ya Baraza la kuendeleza koran Tanzania (Balukta) na yeye akapigwa mkwara hadi akaanza kuwa chawa wa Serikali pia miaka ya katikati walimuulizia Manji eneo la Chang'ombe kwa milioni 80 na baadaye Manji aliliuza kwa bilioni na kitu,hii maana yake kuna hela nyingine wanakula.
Nina uhakika hata ule msikiti uliojengwa pale makao makuu ya wangepewa pesa taslimu wajenge wenyewe ungeishia ghorofa moja tu.
Duh,ukiwasikiliza wanavyoongea utadhani kweli Wana hofu ya Mungu ya dhati,kumbe matapeli wakubwa!
 
Naona umeamua kosoma barua moja. Hapo kuna barua mbili. Soma tarehe ya kusitisha lini na tarehe ya kuhuwisha lini. Baada ya mzee aliyekuwa anasimamia Msikiti kufariki kwa kifo kisichojuliakana, ndipo wakahuwisha. Soma tena urudi kunielewesha wapi hujaelewa. Hiyo Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre imeandikwa tu ila sio wao. Ni Magumashi ili ionekane wanahusika. Wasingelalamika
Nimesoma kote ila hiyo barua moja unayosema ndo nimeamua kuisoma ni kwamba nimei-link na hilo bango tu, kwa kuwa kwenye issue za ujenzi bango nalo ni sehemu ya ujenzi kwa kuwa linamtambulisha mmilki wa kiwanja na ujenzi unaoendelea ikiwa pamoja na vibali mbalimbali. Na sio kwamba sijasoma ila nimeangalia viashiria vingine vinavyoonyesha umilki baada ya kusoma "Je, Tajiri aliwezaje kununua sehemu na kujenga bila ya kuwa na hati?", ndo nikawa najiuliza issue hapo ni jamaa amekodisha au amenunua (maana umilki ulioandikwa kwenye bango umebaki kwa taasisi)

Ila kwa kuwa umesema "Hiyo Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre imeandikwa tu ila sio wao. Ni Magumashi ili ionekane wanahusika. Wasingelalamika" acha niishie hapa kwa kutokuwa na nia ya kuendelea kutaka kufahamu zaidi.
 
Pambaneni mpaka kieleweke! Uzuri nyie vita mnaiweza! Si mna ile kaulimbiu kwamba “hakuna kumuachia mungu ni jino kwa jino?!”...haya komaeni sasa
Kwani bongo suicide vest hazipo?

Anyway wakiarike kile kikosi cha talibani kiwasaide kazi.

Anyway pole zao hii haikubariki..hope samia kawasikia.


#MaendeleoHayanaChama
 
AAh, sheria itafata mkondo wako, si jambo la kustusha sana, Bakwata mbona wameuza viwanja vya wakf kwa Manji siku nyingi sana.

Silioni tatizo, Waislam kama wana hasira wajenge mwengine mzuri zaidi na mkubwa kuliko uliovunjwa.
Magufuli alivirudisha kwa wenyewe.
 
Salaam Wakuu,

Jamani tunaomba msaada, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atatutoa roho.

Baada ya rais Samia kuingia Madarakani, wale watu wa pesa inaongea Wamerudi kwa kasi ya ajabu. Mtu mwenye pesa sasa anaweza kufanya chochote na usimfanye kitu.

Katika Mkoa wa Dar Es Salaam kuna Taajiri amewaweka mfukoni Watendaji wote wa Wilaya ya Kinondoni hawa Wakina Gondwe.

Kipindi cha nyumba, kuna Tajiri alitaka kununua Msikiti ili ajenge maduka, Bodi ya Wadhamini ya Msikiti Wakamkatalia. Ikabidi Tajiri huyo amtumie Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ambaye alitetengeneza Bodi mpya ya wadhamni wasio hata waumin wa Msikiti ili Waweze kumuuza Tajiri na Wakafanikiwa. Kumbuka Msikiti unamilikiwa na Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre. Hakuna aliyeshirikishwa kwenye Uteuzi wa Bodi Mpya.

Waumini Walilalamika RITA, Ardhi na kwa Mkurugenzi wa Kinondoni bila mafanikio.
View attachment 2359556
Wakashangaa Hati ya jengo wanayo wao lakini wakashangaa Msikiti unavunjwa na kuanza kujengwa Maduka. Walipojaribu kuzuia, Wakaitwa Polisi wa Oysterbay wakawakamata wote walioonekana kulalamika na kuwekwa ndani bila dhamana. Walikaa sana Polisi kwa kosa la kifanya fujo Msikitini. Aliyekua Msimamizi Mkuu wa Msikiti akafa kifo cha gafla kwani aliteswa sana na Polisi wakitaka aoneshe hati ya kiwanja ilipo kwani aliwanyima.

Je, Tajiri aliwezaje kununua sehemu na kujenga bila ya kuwa na hati?

Je, Kwanini Bodi ya Wadhamni iliundwa haraka bila kufuata kanuni?

Kwanini Polisi Wawashikile watu na kuwanyima dhamana hadi uzio uwekwe?

RITA WALIFIKA KUKAGUA MALI ZETU LAKINI HADI LEO HAWATUPI MREJESHO
View attachment 2359599
Kwanini RITA pamoja na kuja sehemu ya tukio, mbona hawajasitisha ujenzi?

Je kwanini Mkurugenzi alisimamisha ujenzi, lakini baada ya mhusika mkuu kufariki akaruhusu ujenzi uendelee?

Hawa waumini wanatishiwa kubambikizwa kesi ya Ugaidi.

Hapa chini naweka Ushahidi
View attachment 2359543
Hii hapa ni OB ya Polisi waliokamatwa kisa wanazuia Msikiti wao Usibomolewe. Huruma za Polisi ACP Ramadhan Kingai ndo zilifanywa Waachiliwe baada ya kuhoji sababu ya kuwashikilia bila dhamana wala kupelekwa mahakamani. Ni baada ya kuelezwa kilicho nyuma ya pazia.
View attachment 2359556
Hii ni barua iliyowataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini(RITA) na BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kufika mbele ya Mkuu wa Wilaya ili atatue mzozo huu lakini hawajatokea kila Walipoitwa.
View attachment 2359570
View attachment 2359571
Hii ni kibali cha kusimamisha Ujenzi, wiki mbili baada ya alokuwa anatetea Msikiti usibomolewe kufariki, Wakakihuisha
View attachment 2359582View attachment 2359583View attachment 2359581
Na hiii ni hati halali waliyopewaTaasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre ambayo hadi sasa bado wanayo, ila mtu mwingine kaja kabomoa Msikiti na Kujenga Maduka chini ya Usimamizi wa Polisi. Hawana hata Umiliki.
View attachment 2359584View attachment 2359585
Na huu ni Uthibitisho wa Serikali za Mtaa kutoelewa kunachoendelea mtaani kwake
View attachment 2359588View attachment 2359587
Na haya ndo Maduka yanayojengwa sehemu ulipokuwa Msikiti Mwenge mbele ya Magorofa ya Jeshi barabara ya TRA

Tunaomba Serikali Sikivu ya Mama Samia iingilie Kati swala hili. Bado naamini Godwin Gondwe anao uwezo wa kutatua mgogoro huu japo haoneshi jitihada zozote kuhakikisha hili swala linaisha.

Mkuu wa Mkoa Makalla sababu ni rafiki yake na Sheikh Salum, kila siku anasema yupo busy.
Poleni! Haya yanatokea Kwa kuwa huyo mama yenu ni rushwa tupu!
 
Hana hadhi ya kuitwa shehe huyo bali tapeli tu
Huyo ana majibu mengi siku ya hukumu kama anaamini
Ila wanamuogopa kwa kutishia ushirikina
Unajua waswahili wanavyoamini mambo hayo
Kijana kuwa makini nakufuatilia sana unapenda sana kunidhalilisha sana
 
Salaam Wakuu,

Jamani tunaomba msaada, Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum atatutoa roho.

Baada ya rais Samia kuingia Madarakani, wale watu wa pesa inaongea Wamerudi kwa kasi ya ajabu. Mtu mwenye pesa sasa anaweza kufanya chochote na usimfanye kitu.

Katika Mkoa wa Dar Es Salaam kuna Taajiri amewaweka mfukoni Watendaji wote wa Wilaya ya Kinondoni hawa Wakina Gondwe.

Kipindi cha nyumba, kuna Tajiri alitaka kununua Msikiti ili ajenge maduka, Bodi ya Wadhamini ya Msikiti Wakamkatalia. Ikabidi Tajiri huyo amtumie Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ambaye alitetengeneza Bodi mpya ya wadhamni wasio hata waumin wa Msikiti ili Waweze kumuuza Tajiri na Wakafanikiwa. Kumbuka Msikiti unamilikiwa na Taasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre. Hakuna aliyeshirikishwa kwenye Uteuzi wa Bodi Mpya.

Waumini Walilalamika RITA, Ardhi na kwa Mkurugenzi wa Kinondoni bila mafanikio.
View attachment 2359556
Wakashangaa Hati ya jengo wanayo wao lakini wakashangaa Msikiti unavunjwa na kuanza kujengwa Maduka. Walipojaribu kuzuia, Wakaitwa Polisi wa Oysterbay wakawakamata wote walioonekana kulalamika na kuwekwa ndani bila dhamana. Walikaa sana Polisi kwa kosa la kifanya fujo Msikitini. Aliyekua Msimamizi Mkuu wa Msikiti akafa kifo cha gafla kwani aliteswa sana na Polisi wakitaka aoneshe hati ya kiwanja ilipo kwani aliwanyima.

Je, Tajiri aliwezaje kununua sehemu na kujenga bila ya kuwa na hati?

Je, Kwanini Bodi ya Wadhamni iliundwa haraka bila kufuata kanuni?

Kwanini Polisi Wawashikile watu na kuwanyima dhamana hadi uzio uwekwe?

RITA WALIFIKA KUKAGUA MALI ZETU LAKINI HADI LEO HAWATUPI MREJESHO
View attachment 2359599
Kwanini RITA pamoja na kuja sehemu ya tukio, mbona hawajasitisha ujenzi?

Je kwanini Mkurugenzi alisimamisha ujenzi, lakini baada ya mhusika mkuu kufariki akaruhusu ujenzi uendelee?

Hawa waumini wanatishiwa kubambikizwa kesi ya Ugaidi.

Hapa chini naweka Ushahidi
View attachment 2359543
Hii hapa ni OB ya Polisi waliokamatwa kisa wanazuia Msikiti wao Usibomolewe. Huruma za Polisi ACP Ramadhan Kingai ndo zilifanywa Waachiliwe baada ya kuhoji sababu ya kuwashikilia bila dhamana wala kupelekwa mahakamani. Ni baada ya kuelezwa kilicho nyuma ya pazia.
View attachment 2359556
Hii ni barua iliyowataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini(RITA) na BARAZA Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kufika mbele ya Mkuu wa Wilaya ili atatue mzozo huu lakini hawajatokea kila Walipoitwa.
View attachment 2359570
View attachment 2359571
Hii ni kibali cha kusimamisha Ujenzi, wiki mbili baada ya alokuwa anatetea Msikiti usibomolewe kufariki, Wakakihuisha
View attachment 2359582View attachment 2359583View attachment 2359581
Na hiii ni hati halali waliyopewaTaasisi ya Mwenge Mosque & Islamic Centre ambayo hadi sasa bado wanayo, ila mtu mwingine kaja kabomoa Msikiti na Kujenga Maduka chini ya Usimamizi wa Polisi. Hawana hata Umiliki.
View attachment 2359584View attachment 2359585
Na huu ni Uthibitisho wa Serikali za Mtaa kutoelewa kunachoendelea mtaani kwake
View attachment 2359588View attachment 2359587
Na haya ndo Maduka yanayojengwa sehemu ulipokuwa Msikiti Mwenge mbele ya Magorofa ya Jeshi barabara ya TRA

Tunaomba Serikali Sikivu ya Mama Samia iingilie Kati swala hili. Bado naamini Godwin Gondwe anao uwezo wa kutatua mgogoro huu japo haoneshi jitihada zozote kuhakikisha hili swala linaisha.

Mkuu wa Mkoa Makalla sababu ni rafiki yake na Sheikh Salum, kila siku anasema yupo busy.
Kwani Sheikh Ponda Issa Ponda ANASEMAJE?
 
Back
Top Bottom