Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
TAKUKURU wamekanusha habari zilizokuwa zimesambaa mtandaoni kuwa wanamshikilia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kwa mahojiano.
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Rashid Hamdun amewataka watu kupuuza uvumi huo.
Taarifa zimekuwa zikimhusisha Makonda na tuhuma zinazomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
PIA, SOMA:
- Ni kweli Makonda anashikiliwa na Mamlaka za Serikali kwa mahojiano?
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Rashid Hamdun amewataka watu kupuuza uvumi huo.
Taarifa zimekuwa zikimhusisha Makonda na tuhuma zinazomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya.
PIA, SOMA:
- Ni kweli Makonda anashikiliwa na Mamlaka za Serikali kwa mahojiano?