TAKUKURU wakanusha kumshikilia Makonda

TAKUKURU wakanusha kumshikilia Makonda

waseme watamkamata lini
manake huyu lazima akamatwe na apandishwe kizimbani.
bashite ni jangiri sana kuanzia kwenye elimu hadi matumizi mabaya ya ofisi ya umma kujilimbikizia mali na kutesa na kuua watu.
Kama mtakumbuka serikali ya marekeni imempiga bani asikanyae marekani kwa makosa yake ambayo ushaidi wake upo
serikali isijifanye haikumbuki sababu zilizotolewa na serikali ya marekani.
Wamarekani wapo vizuri sana kwa ushushushu walicohsema ni ukweli mtupu,
 
Back
Top Bottom