TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.

Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao

Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.

Wait and see.
Chadema hawako juu ya sheria kamanda na Takukuru wako kazini. Ni utawala wa sheria
 
Bilion 8
Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.

Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao

Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.

Wait and see.
 
Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.

Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao

Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.

Wait and see.
Takukuru sio chombo huru akiwezi bila maagizo.Kama wako huru wachunguze manunuzi ya ndege,Chato airport,ujenzi wa dodoma,sgr,nk.
 
Acha kulalama..

Si tunataka kuwakomesha ccm?
Yani kwa vile sisi chadema ni safi, ngoja takukuru watuchunguze ili tuwafunge domo ccm.
Shida huwa ripoti ikiwa Safi upiga kimya ngoja wakute dosari mrejesho negative ni lazima
 
Takukuru sio chombo huru akiwezi bila maagizo.Kama wako huru wachunguze manunuzi ya ndege,Chato airport,ujenzi wa dodoma,sgr,nk.
Hata zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi mwaka 2014 nazo wachunguze pia wasibague uchunguzi
 
😂

Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?

Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?

Hamueleweki mpo kama Popo
Kange bado anachunguzwa?
 
Mimi naunga mkono uchunguzi. Huyu mwongo Lijualikali aaibike eti Mbowe kaiba Bill 8 uongo mtupu kumsingizia mwenyekiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchunguzi unaofanywa na aliyeteuliwa na mwenyekiti wa ccm...majibu lazima yawe ni ya kumpendeza aliyemteua..majibu gani hayo yatakuwa ya kumpendeza mwenyekiti wa ccm,stay tune
 
Back
Top Bottom