TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

TAKUKURU yaanza kuichunguza CHADEMA kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Hii taasisi isipojiadhari itakuwa redundancy. Inarukia mambo mara michezo, mara wanasiasa, mara hiki, mara kile mradi kiwe na mvuto kwa watu. Wameachana kuwa na kutenda kwa weledi, wakisukumwa na wanasiasa.

Wameacha mambo yao ya msingi wanarukia mambo ambayo hata hivyo hayakamilishwi. Kwa wananchi wanaona kama wanatumika kisiasa kusumbua 'wapinzani' wa wanaowatumia.

Imani ya wananchi itakapoondoka kwenye taasisi kwa sababu ya matendo yao itakuwa na athari kubwa katika kutimiza majukumu ya msingi ya taasisi hiyo.
 
Unaweza kufanikiwa kumdanganya CAG kupitia makaratasi lakini ukikutana na upepo wa Takukuru mambo yakabadilika kabisa.

Inasemekana kiuongozi Chadema imejigawa katika kanda 10 ambapo 8 ziko Bara na 2 Zanzibar.

Kanda zote hupokea fedha za ruzuku kutoka makao makuu ili kuendesha ofisi ikiwemo kulipa pango, utilities na mishahara.

Kwa sasa Takukuru iko huko kwenye kanda mbalimbali tusubiri matokeo.

Naomba niishie hapo nisije kuangilia uchunguzi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Uchunguzi wa 'Ubadhilifu Mali za CCM sijui uliishia wapi.'
 
hapa mbowe hachomoki.bilioni 8.9 mbowe kaiba mchana kweupee wenzie wakihoji anawafukuza kwa propaganda za uzushi wasaliti,wamenunuliwa sumu aionjwi na vitisho lukuki.
 
Sioni kitu cha maana ulichoandikka, heading na content ni kama mbingu na ardhi.

Kanda zote hupokea fedha za ruzuku toka makao makuu kuendesha shughuli za chama,.... yes; so hiyo hatari unayoisema inatoka wapi?!
 
Unaweza kufanikiwa kumdanganya CAG kupitia makaratasi lakini ukikutana na upepo wa Takukuru mambo yakabadilika kabisa.

Inasemekana kiuongozi Chadema imejigawa katika kanda 10 ambapo 8 ziko Bara na 2 Zanzibar.
Kanda zote hupokea fedha za ruzuku kutoka makao makuu ili kuendesha ofisi ikiwemo kulipa pango, utilities na mishahara.

Kwa sasa Takukuru iko huko kwenye kanda mbalimbali tusubiri matokeo.

Naomba niishie hapo nisije kuangilia uchunguzi.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu,TAKUKURU hii hii ya wale wachungizi wetu akina ....wanaopenda "mashati ya mikono mirefu"!?
Hamna jipya hapo kiuweledi,but kisiasa yapo mengi tu.
 
Back
Top Bottom