Chadema hawako juu ya sheria kamanda na Takukuru wako kazini. Ni utawala wa sheriaHuyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Tril 1.5 zilitolewa majibu na PAC ila nyie mnalazimisha sababu hamna hoja tena.
Wachunguze pesa ya kuwanunua wapinzani inatoka wapi na je?ile inayotoka ndiyo hiyo wanapewa ama inapigwa panga?Wanachadema wanasemaje maana kumbe hata ada za kadi za mwanachama zimeliwa na kina mbowe
Naona waliko hali sio nzuri
Tabu aliyoipata Magufuli 2015 anaiota mpaka leo, hasa akizingatia hakushinda kihalali inamsmchanganya sana.
Hata CCM hawapo juu ya Sheria mbona spika yupo juu ya Sheria kapiga bilion 12 India lakini hawakwenda kumchunguza?Chadema hawako juu ya sheria kamanda na Takukuru wako kazini. Ni utawala wa sheria
Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Takukuru sio chombo huru akiwezi bila maagizo.Kama wako huru wachunguze manunuzi ya ndege,Chato airport,ujenzi wa dodoma,sgr,nk.Huyu mkuu wa takukuru pamoja na kuwa ametoka kwenye taasisi inayo heshimika kama JWTZ lakini amekubali kutumika kunyanyasa wananchi wasio na hatia kwa manufaa ya CCM.
Hii ndio hatari kubwa ya kutumia wanajeshi sehemu ambazo sio zao
Wakisha zoea kupindisha mambo ipo siku watapindisha sehemu siyo lwa manufaa yao wenyewe.
Wait and see.
Nani aliwatisha?Baada ya kutishiwa..
Shida huwa ripoti ikiwa Safi upiga kimya ngoja wakute dosari mrejesho negative ni lazimaAcha kulalama..
Si tunataka kuwakomesha ccm?
Yani kwa vile sisi chadema ni safi, ngoja takukuru watuchunguze ili tuwafunge domo ccm.
Hata zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi mwaka 2014 nazo wachunguze pia wasibague uchunguziTakukuru sio chombo huru akiwezi bila maagizo.Kama wako huru wachunguze manunuzi ya ndege,Chato airport,ujenzi wa dodoma,sgr,nk.
Hadi waagizwe bila maagizo hawaweziWakachunguze ununuzi wa kivuko cha Dsm- Bagamoyo tuone
Umeshawahi sikia hio wizara kuna utumbuzi jiulizeHata zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi mwaka 2014 nazo wachunguze pia wasibague uchunguzi
Kange bado anachunguzwa?😂
Unajua, ninyi watu mnafurahisha Sana, aliyekuwa akiimba kuwa Chadema inasingiziwa, sijui Mbowe anaonewa na kusingiziwa Sana si ndo kina ninyi makamanda?
Sasa Chama kikifanyiwa upekuzi si ndo vizuri sasa kuubariki ukweli wenu makamanda?
Hamueleweki mpo kama Popo
Mmejishitaki wenyewe bungeni kuwa chadema kuna rushwa ya ngono na utapeli wa billion 8Tsh zimepigwa .wacha TAKUKURU wafanye kaziKwahiyo takukuru hawakufanya ukaguzi kwa chadema? Haya ni maagizo kutoka juu.
Mlisema mpo safi sana sasa manachunguzwa amnalialia nini?Kwanini uchukulie negative kuwa ni kunyanyaswa wakati inaweza kuwatakasa kama hakutakuwa na ushahidi!
Uchunguzi unaofanywa na aliyeteuliwa na mwenyekiti wa ccm...majibu lazima yawe ni ya kumpendeza aliyemteua..majibu gani hayo yatakuwa ya kumpendeza mwenyekiti wa ccm,stay tuneMimi naunga mkono uchunguzi. Huyu mwongo Lijualikali aaibike eti Mbowe kaiba Bill 8 uongo mtupu kumsingizia mwenyekiti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miradi yote ikiwemo wa umeme huko mbugani wanaichunguze na hasa ule ujenzi wa kiwanja cha Ndege kule chatoNi vizuri wqkiroka apo wqchunguze na CCM pesa wabazonunua wapinzani wqnatoa wapi.
Ingekuwa vyema uchunguzi ungefanyika baada ya Uchaguzi Mkuu - wakati huu unaweza kuleta hisia tofauti.Hapo Jiwe ameshindwa kuifuta Chadema kaanza kutapatapa. siungi mkono uchunguzi fake.