TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

Makonda kajaa
 
Yaani inawezekana walimpa hati halafu wakaripoti kupotea
Nijuavyo Mimi huu mchezo makonda aliucheza wakati wa Baba
kwa. nini hakwenda kifanya transfer ili aliyepoteza akifuatilia anaambiwa hati imebadilishwa kiwanja sio chake,
asingepewa hati nyingine
 

Lakini tungepata ukweli pia wakati huo DAB alikuwa ana uwezo wa kumiliki kiwanja eneo hilo?
 
Kesi iende mahakamani tukajue PGO ya viwanja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwaka mgumu kwa Makonda:
1.Kutumia madaraka vibaya by Kubenea.
2.Kupora kiwanja na nyumba by GSM
3.Human Right Violation by Pompeo USA
 
Dah ni umafia hatari, na liyeokota hati ni ndugu makonda.

Makonda Naye ni muda wa kutengenezwa... Dunia ni Suara kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…