Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
ROSTAM AZIZ yuko kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa Magreth 6 ni mtuhumiwa tu na hatimaye vyombo vya sheria vitathibitisha hizo tuhuma na tutajua ukweli. Kwa sasa ninaamini iko nguvu ya ufisadi nitendayo kazi ndani ya TAKUKURU na hivyo lolote lawezekana. Kama TAKUKURU wameanza kuwa mawakala wa ufisadi historia itakuja kuwaumbua. Iko siku Hosea. IKO SIKU!
Watu hapa wanaongozwa emotional si mchezo! Habari hizi za kukamatwa wamekamatwa wengi tu? Leo hii Bi Sitta yupo mnalalamika kaonewa? Kuna watu wanasema mbona wengine wanatoa hawajakamatwa? Two wrong can't make it right!