TAKUKURU yamrejeshea mstaafu mamilioni aliyodhulumiwa

TAKUKURU yamrejeshea mstaafu mamilioni aliyodhulumiwa

Hapana.
Unazaa 15m ingine na ziada 6M.
Yaani unakopa 15m unarudisha 36M
Huu ni ufala wa hali ya juu. Hata kama unashida kiasi gani hutakiwi kukubali mkopo wa aina hii.
 
Hivi vitaasisi vya watu wa musoma vimetapakaa Sana nchini na vinawapiga Sana manesi na walimu nilishaandika Uzi humu halafu wanashirikiana na watu wa benki serikali iingilie Kati kutetea watumishi wake.
 
Haya ndio matatizo ya mfuko wa pension (PSSSF) kuchelewesha mafao ya wastaafu hadi kufikia kudhulumiwa fedha.

Bora awamu ile mifuko ilikuwa mingi na ushindani wa kibiashara na utoaji huduma uliongezeka licha ya kuwa yote ilikuwa chini ya serikali.

PSSSF ni kawaida yao hio,mstaafu anakaa miaka 3 hajalipwa pesa zake unategemea ataishije zaidi ya kwenda kukola kwa hao wahuni?
 
Hivi kwani huwa wanalizimishwa kwenda kukopa?


Tunaishi ulimwengu wa kibepari, waache kuwa wanatetea watu wanaoingia makubaliano wenyewe.
Mkuu usijitoe ufahamu.
Kuna financial regulations kuzuia wizi kama huo.
Riba zina kikomo kilichopo kisheria.
 
Alikopa Million15.
Mafao yake ni million 46.
Amerudishiwa million 10.

Ikwesheni:- 46-(15+10)=
= 46-25=21
Kwa hiyo tunaweza kusema alikopa million 15 kwa riba ya million 21? Hapa hata sijaelewa kabisa. Na kama ni hivyo watoto wa huyu mama kama wapo Mungu awasaidie.

Sasa hiyo milioni 10 ndio mamilioni ya shillingi?
 
Mkuu usijitoe ufahamu.
Kuna financial regulations kuzuia wizi kama huo.
Riba zina kikomo kilichopo kisheria.
Umelazimishwa kwenda hapo kukopa? Unadhani kama wasingekuwa na wateja wangejiwekea hizo riba?

Ni jamii inafuga haya mambo, na wengi tumezoea kuvunja makubaliano, umeji comit kulipa ndani ya muda fulani ukishindwa riba inapanda, na we unashindwa siku zote unabaki kulipa riba unakuja kulalamika.

Ulitakiwa usiingie makubaliano usiyo yaweza.
 
Back
Top Bottom