TAKUKURU yawashikilia Wafanyakazi 30 wa Bohari ya Madawa (MSD) na Mmoja wa Wizara ya Afya kwa Ubadhilifu wa Mil. 54

TAKUKURU yawashikilia Wafanyakazi 30 wa Bohari ya Madawa (MSD) na Mmoja wa Wizara ya Afya kwa Ubadhilifu wa Mil. 54

Taasisi ina upigaji sana hii na ni kawaida madawa yenye thamani ya mabilioni kumaliza muda wake wakati hospitalini hakuna dawa. Bwanakunu ilimchukua miaka miwili tu kutajirika kupindukia kwa kujenga maghorofa na malodge leo hii hata wakimuweka ndani nadhani mambo yataisha kimya kimya tu na maisha yataendelea.

Kawekwa Brigedia pale. Pengine ataleta mabadiliko lakini kama ni tatizo la kimfumo hata yeye hataweza. Wajanja wataendelea kupiga tu.
 
Taasisi ina upigaji sana hii na ni kawaida madawa yenye thamani ya mabilioni kumaliza muda wake wakati hospitalini hakuna dawa. Bwanakunu ilimchukua miaka miwili tu kutajirika kupindukia kwa kujenga maghorofa na malodge leo hii hata wakimuweka ndani nadhani mambo yataisha kimya kimya tu na maisha yataendelea.

Kawekwa Brigedia pale. Pengine ataleta mabadiliko lakini kama ni tatizo la kimfumo hata yeye hataweza. Wajanja wataendelea kupiga tu.

Aisee Babaangu ni hatari sana. Wanaposema Serikali haipeleki mahela kumbe dawa zinakufa ina maanisha nini?

Mjeshi anatakiwa kuwa smart na masterminder huku aelewe kwamba anafanya kazi na watu wenye uzoefu zaidi ya miaka 10 kwenye taasisi hiyo watamshinda tu kama asipobadili mfumo mzima.

MSD ipo shida mahali, kuna mahali hapapo sawa kabisa na hilo linatakiwa lijulikane mapema kabisa.

JPM aliona mbali, lakini anatakiwa kuendelea kuona mbali zaidi.

Miezi 3 ya Mkurugenzi mpya tena Mjeshi bado watu wanapiga dili, Aisee, hali ni mbaya Bohari! Hilo la Mkurugenzi wa zamani kutolewa kimya kimya inawezekana pia; Maana TAKUKURU ni Drama tu , kwani ya Kangi yameishia wapi ? Hao dagaa ndio watatolewa kafara.

Na nyie watumishi wa Umma, mkiwa Dagaa mnatakiwa kufanya kazi kwa weledi, mtatumika kama daraja kama akili yako imejaa gasi.
 
Aisee Babaangu ni hatari sana. Wanaposema Serikali haipeleki mahela kumbe dawa zinakufa ina maanisha nini?

Mjeshi anatakiwa kuwa smart na masterminder huku aelewe kwamba anafanya kazi na watu wenye uzoefu zaidi ya miaka 10 kwenye taasisi hiyo watamshinda tu kama asipobadili mfumo mzima.

MSD ipo shida mahali, kuna mahali hapapo sawa kabisa na hilo linatakiwa lijulikane mapema kabisa.

JPM aliona mbali, lakini anatakiwa kuendelea kuona mbali zaidi.

Miezi 3 ya Mkurugenzi mpya tena Mjeshi bado watu wanapiga dili, Aisee, hali ni mbaya Bohari! Hilo la Mkurugenzi wa zamani kutolewa kimya kimya inawezekana pia; Maana TAKUKURU ni Drama tu , kwani ya Kangi yameishia wapi ? Hao dagaa ndio watatolewa kafara.

Na nyie watumishi wa Umma, mkiwa Dagaa mnatakiwa kufanya kazi kwa weledi, mtatumika kama daraja kama akili yako imejaa gasi.
Wakitoka hapo waende na Tanroads wakamtoe Mfugale wamuweke Mjeshi tuone makaburi pale yatakavyofukuliwa kwa kasi
 
Taasisi ina upigaji sana hii na ni kawaida madawa yenye thamani ya mabilioni kumaliza muda wake wakati hospitalini hakuna dawa. Bwanakunu ilimchukua miaka miwili tu kutajirika kupindukia kwa kujenga maghorofa na malodge leo hii hata wakimuweka ndani nadhani mambo yataisha kimya kimya tu na maisha yataendelea.

Kawekwa Brigedia pale. Pengine ataleta mabadiliko lakini kama ni tatizo la kimfumo hata yeye hataweza. Wajanja wataendelea kupiga tu.

Hivi dawa ambazo zinaponunuliwa tayari expiry date inajulikana zinawezaje kuachwa mpaka muda wa matumizi uishe? How? Kweli hapa kuna tatizo kubwa la kimfumo. Kuna haja ya kuondokana na hii monopoly kuwe tu na taasisi/mamlaka ya kuratibu haya madawa the rest waachiwe institutions nyingi .
 
Hivi dawa ambazo zinaponunuliwa tayari expiry date inajulikana zinawezaje kuachwa mpaka muda wa matumizi uishe? How? Kweli hapa kuna tatizo kubwa la kimfumo. Kuna haja ya kuondokana na hii monopoly kuwe tu na taasisi/mamlaka ya kuratibu haya madawa the rest waachiwe institutions nyingi .

Ukikaa chini na kutafakari utaona kabisa hawa watu kuna haja ya wafanyakazi wote kukatwa nusu ya mishahara yao taasisi nzima kufidia dawa zinazokufa na kuibiwa ili kila mmoja awe ni askari wa mwenzie.

Ukienda Umasaini huko hakuna dawa kabisa( ukija bohari kuu unaambiwa dawa zimekufa . Mfumo wa MSD ni corrupt.
 
Taasisi ina upigaji sana hii na ni kawaida madawa yenye thamani ya mabilioni kumaliza muda wake wakati hospitalini hakuna dawa. Bwanakunu ilimchukua miaka miwili tu kutajirika kupindukia kwa kujenga maghorofa na malodge leo hii hata wakimuweka ndani nadhani mambo yataisha kimya kimya tu na maisha yataendelea.

Kawekwa Brigedia pale. Pengine ataleta mabadiliko lakini kama ni tatizo la kimfumo hata yeye hataweza. Wajanja wataendelea kupiga tu.
Brigedia hawezi kuleta mabadiliko maana ni organized crime. Mfumo mbovu. Na ni ngumu kufumua mfumo mzima maana utabadilisha wafanyakazi wengi. Na haya madawa ni bidhaa rahisi sana kuiingiza sokoni na kupata mteja.

Wawekwe ma-snitch tu kila upande ili wanase mmoja mmoja kama hivyo.
 
Wakitoka hapo waende na Tanroads wakamtoe Mfugale wamuweke Mjeshi tuone makaburi pale yatakavyofukuliwa kwa kasi

Yule Mfugale Bomu kabisa. Kwanza barabara zote alizojenga yeye tayari zina viraka. Mvua ikinyesha inaacha na mashimo kabisa, sijui huo ndio mradi wake au ? Halafu TAKUKURU wapo busy na Dagaaa! Kuweni Serious
 
Yule Mfugale Bomu kabisa. Kwanza barabara zote alizojenga yeye tayari zina viraka. Mvua ikinyesha inaacha na mashimo kabisa, sijui huo ndio mradi wake au ? Halafu TAKUKURU wapo busy na Dagaaa! Kuweni Serious
Taratibu mkuu kule hapaguswagi kizembe,ukiona Takukuru wanazuga hawapaoni jua kuna Godfather mahala.
 
Nimesikia Manyara wengine wanashikiliwa na Takukuru kwa makosa ya mwaka 2014,nilishangaa sana mbona zamani!

Maana ukisema ufuatilie miaka hiyo mbona mtaani kutanuka!
Kuna mambo ya iliyokuwa mamlaka ya mkonge, ni ya mwisho wa 90 au mwanzo mwa 2000, yanafukuliwa sasa, pengine na uhujumu wa nyumba za serikali 2005 nao utapitiwa ili zirudishwe.
 
Brigedia hawezi kuleta mabadiliko maana ni organized crime. Mfumo mbovu. Na ni ngumu kufumua mfumo mzima maana utabadilisha wafanyakazi wengi. Na haya madawa ni bidhaa rahisi sana kuiingiza sokoni na kupata mteja.

Wawekwe ma-snitch tu kila upande ili wanase mmoja mmoja kama hivyo.

MSD is a crime Organization. Ukirudi nyuma kwenye ile taasisi kila Mkurigenzi lazima aishie Jela , jiulize kwanini? Lakini cha kushangaza zaidi Mkurugenzi Mkuu anaishia jela ila wahusika walio kwenye mnyororo wa malipo siku zote wanabaki. Ni wazi kuwa TAKUKURU ni Drama, hawafanyi kazi yao vyema.

Hili la Mkurugenzi aliye mahabusu wala sio Kitu kipya; ndio MSD ipo hivo . Hata mwaka 2017 tulisikia sana kelele za DG wa Bohari ya Madawa kwenda mahabusu; je kuna mtu yoyote anajua game ilivyoishia? This la Lauren too shall pass.

MSD is a corrupted system needs to be bankrupt at the first opportunity; ni moja ya taasisi inayoitia hasara kubwa serikali kuu.

Kama dawa za billions zinakufa na dawa nyingine zinaibiwa katika vituo ambavyo vinawasimamizi na viongozi maana yake hiyo taasisi haina Uhai.

Mbinu pekee huenda ikasaidia ni kufanya Transfer hao wakurugenzi na baadhi ya maafisa.

Wahamishiwe Halmashauri na Vijinini kwenda kulitumikia taifa; wapelekwe Watu wapya wenye weledi na utumishi bora. Vinginevyo Mjeshi atapita kama wengine.

Anaweza asiibe lakini akaibishwa pasipo yeye kujua.
 
Taasisi ina upigaji sana hii na ni kawaida madawa yenye thamani ya mabilioni kumaliza muda wake wakati hospitalini hakuna dawa. Bwanakunu ilimchukua miaka miwili tu kutajirika kupindukia kwa kujenga maghorofa na malodge leo hii hata wakimuweka ndani nadhani mambo yataisha kimya kimya tu na maisha yataendelea.

Kawekwa Brigedia pale. Pengine ataleta mabadiliko lakini kama ni tatizo la kimfumo hata yeye hataweza. Wajanja wataendelea kupiga tu.
MSD===GPSA (Kuna magenge ya wafanyakazi wezi hatari mno).
 
MSD===GPSA (Kuna magenge ya wafanyakazi wezi hatari mno).

MSD and GPSA are Criminal Organisations need to be bankrupt and shafted. All directors in addition to subordinates need to be taken to local police for further investigation.
 
Aisee Babaangu ni hatari sana. Wanaposema Serikali haipeleki mahela kumbe dawa zinakufa ina maanisha nini?

Mjeshi anatakiwa kuwa smart na masterminder huku aelewe kwamba anafanya kazi na watu wenye uzoefu zaidi ya miaka 10 kwenye taasisi hiyo watamshinda tu kama asipobadili mfumo mzima.

MSD ipo shida mahali, kuna mahali hapapo sawa kabisa na hilo linatakiwa lijulikane mapema kabisa.

JPM aliona mbali, lakini anatakiwa kuendelea kuona mbali zaidi.

Miezi 3 ya Mkurugenzi mpya tena Mjeshi bado watu wanapiga dili, Aisee, hali ni mbaya Bohari! Hilo la Mkurugenzi wa zamani kutolewa kimya kimya inawezekana pia; Maana TAKUKURU ni Drama tu , kwani ya Kangi yameishia wapi ? Hao dagaa ndio watatolewa kafara.

Na nyie watumishi wa Umma, mkiwa Dagaa mnatakiwa kufanya kazi kwa weledi, mtatumika kama daraja kama akili yako imejaa gasi.

Hiyo ndiyo kazi ya mjeshi! Yawezekana kawategea mtego akawanasa. Ndo maana unaona niwengi.
 
Ukikaa chini na kutafakari utaona kabisa hawa watu kuna haja ya wafanyakazi wote kukatwa nusu ya mishahara yao taasisi nzima kufidia dawa zinazokufa na kuibiwa ili kila mmoja awe ni askari wa mwenzie.

Ukienda Umasaini huko hakuna dawa kabisa( ukija bohari kuu unaambiwa dawa zimekufa . Mfumo wa MSD ni corrupt.
Umasahini wapi? Kazi nikukatalia form za bima nakujaza taarifa za uongo ili kuiba dawa! Huo mzigo uliandaliwa kupigwa long!
 
Back
Top Bottom