TAKUKURU yawashikilia Wafanyakazi 30 wa Bohari ya Madawa (MSD) na Mmoja wa Wizara ya Afya kwa Ubadhilifu wa Mil. 54

TAKUKURU yawashikilia Wafanyakazi 30 wa Bohari ya Madawa (MSD) na Mmoja wa Wizara ya Afya kwa Ubadhilifu wa Mil. 54

Mkuu unafikuri hizi pharmacies huku mtaani yale madawa wanapata kwa njia sahihi!??

Kitengo noma hicho.
 
Hujanielewa.
Hivi muhasibu wa TBA mwenye shahada na ana uzoefu wa miaka 5 unajua kuwa anazidiwa kwa mshahara na fresh graduate anayeanza kazi Tanesco?.
Waboreshe muundo wa mshahara kwa kuweka uwiano sawia
Mashirika yoote ya umma hayatakiwi yajiendeshe kwa ruzuku ya Serikali kwa namba yoyote ile, kwa sababu yanafanya bishara na yanapata faida, na hivyo lazima yatoe gawio kila mwaka Serikalini. Mshahara atakaolipwa mtumishi itategemea realized profit, na kitu kama hicho lazima kitofautiane kutoka shirika mpaka shirika. Short of that, shirika hilo aidha litafutwa au kubinafsishwa
 
Hujanielewa.
Hivi muhasibu wa TBA mwenye shahada na ana uzoefu wa miaka 5 unajua kuwa anazidiwa kwa mshahara na fresh graduate anayeanza kazi Tanesco?.
Waboreshe muundo wa mshahara kwa kuweka uwiano sawia
Mkuu fresh graduate Tanesco anapokea kiasi gani?
 
Hayo mapendekezo yako ni ya kitoto.
Watu wanaweza kuwa na elimu moja ila mmoja amefanya kazi miaka mingi bila shaka uzoefu wake hauwezi kuwa sawa na mtu katoka Chuo jana.

Kama huutambui uzoefu kazini na kwamba unaweza kuwa na tija zaidi basi unaonekana una matatizo na ninyi ndio wezi wakubwa
Tatizo ni tofauti kubwa ya mshahara katika level moja ya elimu
 
daa hatari hii awamu watu wanajipigia kimya kimya sana sijui dawa yao ni ipi maana kuwa mkali kama Simba haisaidii ni kuwa na taasisi makini za kuzuia na kukagua Mali za umma sio kama sasa ni takukuru tuu harafu mwisho wa siku kesi inatupiliwa mbali bila ushahidi...ile kesi ya dhahabu ya 700 ilipotea hivi hivi ila mbwe mbwe zake kama makosa yapo...
 
daa hatari hii awamu watu wanajipigia kimya kimya sana sijui dawa yao ni ipi maana kuwa mkali kama Simba haisaidii ni kuwa na taasisi makini za kuzuia na kukagua Mali za umma sio kama sasa ni takukuru tuu harafu mwisho wa siku kesi inatupiliwa mbali bila ushahidi...ile kesi ya dhahabu ya 700 ilipotea hivi hivi ila mbwe mbwe zake kama makosa yapo...

Ni hatari .
 
Umasahini wapi? Kazi nikukatalia form za bima nakujaza taarifa za uongo ili kuiba dawa! Huo mzigo uliandaliwa kupigwa long!

MSD ni criminals. Ni genge la wahuni katika sekta ya Afya. Wizi wao ni kiwango cha juu. Yanayotokea kwa Sasa sio mpya bali mwaka huu ndio wamegundulika janja yao.
 
Umasahini wapi? Kazi nikukatalia form za bima nakujaza taarifa za uongo ili kuiba dawa! Huo mzigo uliandaliwa kupigwa long!

Nakubaliana na wewe. Hiyo game ilishachezwa. Na dawa hizo mara nyingi hawauzi Tanzania. Zinapelekwa mipakani kwenda Zambia, Zimbabwe na Malawi.

Kuna agent maalumu wa hizo kazi. Mzigo wote wakichukua wa mil 200 unakuta wanapewa mil 80 baada ya hapo wanagawana mzigo unaingia boda. Kama wapo 4 kila mtu anakula 20 20, Na huo ndio michezo yao ya miaka yote muda wote. Ila Taarifa za Mkurugenzi Mahabusu zinasema hakuna upotevu wa dawa. Alikuwa akitangaza kwenye vikao vya Halmashauri.

Ukifanya kazi Halmashauri unaijua MSD vyema maana wakati mwingine wanashirikiana na wafamasia wa wilaya na DEDs kufanikisha huo uhuni. Hiyo ni cheni ndefu. Mjeshi awe smart vinginevyo watamzidi nguvu. Wizi wao ni level za juu.

Mbaya zaidi mambo hayo yanatokea katika Kanda ambazo zina manager wanaokula mpunga mrefu sio chini ya 5M kwa mwezi na wizi unatokea wala hawana habari. Kama ni kuwafunga hao vijana basi ni lazima kuanza kumfunga manager wao.

mikoa mingine vipi? Maana hiyo ni mwanza tu, Dar es je, si itakuwa ni atomic bomb.

Dadeki Tanzania yangu, miaka ya nyuma ukiuliza vipi matokeo ya kuhesabu mali, wanakwambia mali ya uma ipo sawa dah ...
 
Taasisi kama hizo wamejaza watoto wao wa kishua na wazazi wao ambao wapo serikalini,sasa mambo yanazidi kuwa magumu na mchezo ndio tumeenda mapumziko ili kipindi cha pili kianze.

Mwana kulifaind mwana kuligeti.
 
Taasisi kama hizo wamejaza watoto wao wa kishua na wazazi wao ambao wapo serikalini,sasa mambo yanazidi kuwa magumu na mchezo ndio tumeenda mapumziko ili kipindi cha pili kianze.

Mwana kulifaind mwana kuligeti.
😎😎😎😎
 
Ili ufisadi ukome kwa watumishi basi kwa hatua ya kwanza waweke mishahara sawa kwa kada au kwa wenye elimu level moja. Pili maslahi nyinginezo kama pango, lunch na usafiri wapewe wote kwa ujumla.


Umesema kweli mkuu. Wafanyakazi wengi wanalipwa pesa za "mboga"
 
Back
Top Bottom