Takwimu Aziz Ki Vs Chama kuelekea mwisho wa ligi

Takwimu Aziz Ki Vs Chama kuelekea mwisho wa ligi

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Statistics
Stephen Aziz Ki

Mechi 21

Dakika 1342

Magoli 9

Pasi za goli 4



CLatous Chama

Mechi 23

Dakika 1836

Magoli 3

Pasi za Magori 14



Clatous Chama

Yupi Yupo kwenye kiwango kwa sasa?
CHAMBUA

27B19694-58E0-4393-AAF2-7DA55CC115A3.jpeg
 
Wana tofauti ndogo sana, mwingine kacheza mechi 23 mwingine 21. Mmoja mchango wake Kwa ujumla Magoli 17 na mwingine 13 apo unaweka pamoja pasi za mwisho na Magoli waliyo funga.

Chama anategemewa zaidi na Simba kwakua asipo cheza Simba Ina struggle.
Aziz K ana kitu anaipa Yanga ila bado ajawa wakutegemewa zaidi kama Chama.

Yote Kwa yote wamefanya vizuri katika msimu 2022/2023.
 
Chama is very slow . Simba to progress they need to boot him out . Include other players who have been poor this season . But simba fans don’t see that . So who are we ?!?
 
Chama is very slow . Simba to progress they need to boot him out . Include other players who have been poor this season . But simba fans don’t see that . So who are we ?!?

It seems upu don't know anaything about football
Do simba Need to take out their best playmaker?
So simba need to take out their best scorer in CCL? Kwa kigezo cha "chama is very slow"

Basi zidane asingecheza kokote wala kushinda Ballon d'Or
Aziz ki mwenyewe ni very slow zaidi hata ya chama
 
Back
Top Bottom