Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Takwimu tafadhaliJINI mnyonya damu Balekeee
Huyu jamaa ni nyokoLibaleke linajua
Goal 14 tangu afike simba
Mayele ana mengi ya kujifunza kwakeHuyu jamaa ni nyoko
Mkuu Baleke apewe heshima, kumpambanisha na mtu mmoja sio sawa yule anatakiwa kupambana na kundi.
AajaajahaaMkuu Baleke apewe heshima, kumpambanisha na mtu mmoja sio sawa yule anatakiwa kupambana na kundi.
Paw kwani uzi ukisoma
Jean Baleke Vs Mayele & Musonda kuna shida gani
AhaahaahahView attachment 2583551
Mkuu jionee mwenyewe mavitu haya
Uzi ni wa baleke Vs musonda au tuwaruhusu mumuongeze na mayele ?Ahaahaahah
Mayele ashafunga mengi kama hayo
Leta jingine