Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
1. Baleke - 1 shot on target, 1 goal, 1 game
2. Musonda - 0 shot on target, 0 goal, 1 game...
Wakishiba Hogo sasa utawasikia anamikimbio ya hatarii yule, hata Mayele mlianza kwa kumfanisha na Kibu Hahahahaa.... Akili za wala mihogo bhana! wanafikiri kua siku zote watasajili wakina Mayele tu kumbe wengine ni kina Musonda asee.
Namba hazidanganyi mzee leta takwimu hapa kama zipo kama nilivyofanya kwani mpira ulichezewa chumbani ule?!...Una Hakika Musonda Hakuwa Hata Na On Target Golini Siku ile?
Mechi na dar city alicheza dakika 90 halafu matusi inaonyesha ni watu wa aina gani hapo utopoloYaani Baleke aliyecheza dakika 90 mnaanza kumfananisha na Musonda aliyecheza dakika 19... Kumamamamamake zako muanzisha uzi huna akili mseeeeeeeeenge
Namba hazidanganyi mzee leta takwimu hapa kama zipo kama nilivyofanya kwani mpira ulichezewa chumbani ule?!...
Mikimbio mizuri kama bata au swala?1. Baleke - 1 shot on target, 1 goal, 1 game
2. Musonda - 0 shot on target, 0 goal, 1 game...
Wakishiba Hogo sasa utawasikia anamikimbio ya hatarii yule, hata Mayele mlianza kwa kumfanisha na Kibu Hahahahaa.... Akili za wala mihogo bhana! wanafikiri kua siku zote watasajili wakina Mayele tu kumbe wengine ni kina Musonda asee.
Hili ndio kombe lenu misimu huu baada ya kupoteza la mapinduziHaya wadau, hivi karibuni kupitia usajili wa dirisha dogo tumeshuhudia timu za Simba na Yanga zikifanya usajili wa kuboresha timu zao.
Hapa nawaleta kwenu Baleke mchezaji wa Simba na Musonda wa Yanga ili tuwafananishe kwa takwimu na namna wanavyozutumikia timu zao.
Yalisemwa mengi na wahasimu wa timu hizi mbili kuhusu sajili za wachezaji hawa lakini wataalamu walisema mpira ni mchezo wa wazi na tumeshaanza kuwaona kwani kila mmoja ameshatumikia timu yake kwenye mechi moja ya NBC Premier League.
Je, yale majigambo yetu yalikuwa sahihi?!
OKW BOBAN SUNZU Mzee wa Takwimu
Mchezaji mzuri haitaji dakika nyingi uwanjaniYaani Baleke aliyecheza dakika 90 mnaanza kumfananisha na Musonda aliyecheza dakika 19... Kumamamamamake zako muanzisha uzi huna akili mseeeeeeeeenge
Hapa tunakwenda na takwimu za NBC Premier LeagueYan reject wa TP Mazembe aliyetolewa kwa mkopo unataka kumfananisha na top target na haohao Mazembe.
Wao wenyewe Mazembe wanajua kwa nini walikua wanamtaka Musonda na wakamtoa kwa mkopo Baleke
Mbona maneno mingi shusha namba hapa...Uliangalia Mpira Siku ile?, Isije Ikawa Nabishana Na Mtu Hata Mpira Hakuangalia Kumbe..
Hahahahaa.... Kama MshambuliajiMikimbio mizuri kama bata au swala?
Kutoka top skola mpaka mikimbio mizuri?!Hahahahaa.... Kama Mshambuliaji
Musonda 2 - 1 Baleke