Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri tunakutana na maoni yenu humu humu jukwaani mkikasirika kuhusu mchango na ubora wa Baleke kwenye mechi zilizopita kabla ya leo ila mashabiki wa Yanga tokea Musonda asajiliwe ukiangalia nyuso za mashabiki wa Yanga ni furaha tu juu ya kiwango cha Musonda hasa kwenye mashindano ya CAF.Waambie na wao watupe takwimu za hat trick za yule mtu wao
Acha maneno mengi..tunasubiri hat trick ya mtu wenuUzuri tunakutana na maoni yenu humu humu jukwaani mkikasirika kuhusu mchango na ubora wa Baleke kwenye mechi zilizopita kabla ya leo ila mashabiki wa Yanga tokea Musonda asajiliwe ukiangalia nyuso za mashabiki wa Yanga ni furaha tu juu ya kiwango cha Musonda hasa kwenye mashindano ya CAF.
Maneno meengi ya nini kama unamwaga maji. Weka takwimuUzuri tunakutana na maoni yenu humu humu jukwaani mkikasirika kuhusu mchango na ubora wa Baleke kwenye mechi zilizopita kabla ya leo ila mashabiki wa Yanga tokea Musonda asajiliwe ukiangalia nyuso za mashabiki wa Yanga ni furaha tu juu ya kiwango cha Musonda hasa kwenye mashindano ya CAF.
Kwahio tulete magoli ya Musonda huko kwao Zambia?Baleke leo dhidi ya Mtimbwa amefikisha hat trick ya nne...huko kwao Congo alikuwa na hat trick tatu ma hat trick yake ya kwanza aliifunga akiwa na miaka 19.
Nimejitolea kukuletea Namba za Mr. Musonda, Kijana mwenye wastani wa Magoli 4.2 kila msimu.Kwahio tulete magoli ya Musonda huko kwao Zambia?
Na wewe una ujasiri kabisa wa kutaka takwimu? Kweli??Maneno meengi ya nini kama unamwaga maji. Weka takwimu
Eti "Baleke leo dhidi ya Mtimbwa amefikisha hat trick ya nne..." 😃😃Baleke leo dhidi ya Mtimbwa amefikisha hat trick ya nne...huko kwao Congo alikuwa na hat trick tatu ma hat trick yake ya kwanza aliifunga akiwa na miaka 19.
Lete hat trick zakeKwahio tulete magoli ya Musonda huko kwao Zambia?
Njoo na source inayoonesha Baleke akiwa top scorer.. naahidi hapa sitaingia JF kwa mwezi mzima endapo utakuja na trusted source itakayoonesha hiloNimejitolea kukuletea Namba za Mr. Musonda, Kijana mwenye wastani wa Magoli 4.2 kila msimu.
To rub more salt into Yanga's Wound. Huyo Baleke alikua Top Scorer(Juu ya King Mayele)
Hapa nimetafuta vayolence, sitabaki salama.
Akileta nijulishe na mm ndugu,Njoo na source inayoonesha Baleke akiwa top scorer.. naahidi hapa sitaingia JF kwa mwezi mzima endapo utakuja na trusted source itakayoonesha hilo
Baleke huyu au kuna Baleke mwingine?Nimejitolea kukuletea Namba za Mr. Musonda, Kijana mwenye wastani wa Magoli 4.2 kila msimu.
To rub more salt into Yanga's Wound. Huyo Baleke alikua Top Scorer(Juu ya King Mayele)
Hapa nimetafuta vayolence, sitabaki salama.