Takwimu: Baleke vs Musonda

Takwimu: Baleke vs Musonda

Msijisahaulishe..tunaendelea
View attachment 2575958
Yaani kwenye CAFCL amecheza mechi mbili dhidi ya Horoya, kacheza mechi mbili dhidi ya Vipers na kacheza mechi mbili dhidi ya Raja lakini cha ajabu match played zimeandika tatu badala ya sita. Ili mradi hesabu ikigawanywa kwenye CAFCL zibalansi.
 
Hivi ukifanya uchambuzi wa yule mfungaji wao na Baleke kwa kipindi tangu aje Baleke atachomoa kweli kwenye takwimu kama ukiwalinganisha?
Ule mgoli wa Raja, Yanga hawajawahi kufunga toka ianzishwe
 
Mwamba huyu hana mbambamba yeye mpira kunyavu bu,batarokota benyewe kunyavu[emoji23][emoji23]
jemedarisaid-20230408-0001.jpg
 
Hao ndio wachambuzi wa matukio hawaangalii takwimu vs nafasi ya mchezaji. Baleke anasimama kama namba tisa kwenye timu ya Simba wakati katika klabu ya Yanga anayesimama namba tisa ni Mayele. La pili kinacholeta utofauti ni utengenezaji wa magoli, Kabla hata ya ujio wa Baleke, Simba wameongoza kuwa ndio timu pekee Tanzania inayopika magoli mengi sana, tumeona Bocco wakati akipangwa anaingia nyavuni mara nyingi pamoja na ubovu na umri, tumeona Phiri akitumbukiza magoli mengi tu pindi alipopewa nafasi. Hivyo Baleke amekutana na timu yenye wapishi wengi tofauti ilivyo Yanga.
 
Baada ya kuona maji yamezidi unga, saizi wameanza kusingizia nafasi wanazocheza, bladf^kin!, tangu mwanzo tulishakubaliana kuwa kuna Mr. Mikimbio na Mr. Goalscorer, nadhani tushikilie hapo.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hao ndio wachambuzi wa matukio hawaangalii takwimu vs nafasi ya mchezaji. Baleke anasimama kama namba tisa kwenye timu ya Simba wakati katika klabu ya Yanga anayesimama namba tisa ni Mayele. La pili kinacholeta utofauti ni utengenezaji wa magoli, Kabla hata ya ujio wa Baleke, Simba wameongoza kuwa ndio timu pekee Tanzania inayopika magoli mengi sana, tumeona Bocco wakati akipangwa anaingia nyavuni mara nyingi pamoja na ubovu na umri, tumeona Phiri akitumbukiza magoli mengi tu pindi alipopewa nafasi. Hivyo Baleke amekutana na timu yenye wapishi wengi tofauti ilivyo Yanga.
Mkuu lile ni JINI linaitwa Baleke limeingia mjini . Kaa mbali nalo. Hayo mengine mwechieni tu Mungu ndiye anayejua.

Mayele mwenyewe ukimuuliza nani kiboko yako kwa washambuliaji hapa bongo atakwambia naliogopa JINI linaloitwa Baleke
 
Huku wanasema Baleke Mechi zidi ya
Mtibwa - 3
Ihefu - 3

6 Goals

Kakutana na timu ambazo

Ihefu walikua wanajikanyaga kanyaga na kudondoka hovyoo karibu na box lao na ivyo kupoteaa possession kirahisi, jamaa akawa anatengewa tuh kiulaini.

Na Mtibwa hawakua mchezoni siku io

Wanasema eti mechi zote izo zilikua nyepesi yaani mnateleza tu
 
Waambie tutakuja kuteleza pia tarehe 16
Huku wanasema Baleke Mechi zidi ya
Mtibwa - 3
Ihefu - 3

6 Goals

Kakutana na timu ambazo

Ihefu walikua wanajikanyaga kanyaga na kudondoka hovyoo karibu na box lao na ivyo kupoteaa possession kirahisi, jamaa akawa anatengewa tuh kiulaini.

Na Mtibwa hawakua mchezoni siku io

Wanasema eti mechi zote izo zilikua nyepesi yaani mnateleza tu
 
Huku wanasema Baleke Mechi zidi ya
Mtibwa - 3
Ihefu - 3

6 Goals

Kakutana na timu ambazo

Ihefu walikua wanajikanyaga kanyaga na kudondoka hovyoo karibu na box lao na ivyo kupoteaa possession kirahisi, jamaa akawa anatengewa tuh kiulaini.

Na Mtibwa hawakua mchezoni siku io

Wanasema eti mechi zote izo zilikua nyepesi yaani mnateleza tu
Labda waungane Mayele, Musonda na Aziz Ki kama kifungashio ndio wamfikie Baleke
 
Hao ndio wachambuzi wa matukio hawaangalii takwimu vs nafasi ya mchezaji. Baleke anasimama kama namba tisa kwenye timu ya Simba wakati katika klabu ya Yanga anayesimama namba tisa ni Mayele. La pili kinacholeta utofauti ni utengenezaji wa magoli, Kabla hata ya ujio wa Baleke, Simba wameongoza kuwa ndio timu pekee Tanzania inayopika magoli mengi sana, tumeona Bocco wakati akipangwa anaingia nyavuni mara nyingi pamoja na ubovu na umri, tumeona Phiri akitumbukiza magoli mengi tu pindi alipopewa nafasi. Hivyo Baleke amekutana na timu yenye wapishi wengi tofauti ilivyo Yanga.
Hoja yako ni ipi hapa?
Tusitumie namba kuwalinganisha tutumie nini?
Huwezi kumfananisha baleke na Musonda, utakuwa chizi.
Asije akakuroga mtu eti baleke ni finisher ( wakimaanisha tap in merchant) dude scores kwenye kila Angle.
 
Hao ndio wachambuzi wa matukio hawaangalii takwimu vs nafasi ya mchezaji. Baleke anasimama kama namba tisa kwenye timu ya Simba wakati katika klabu ya Yanga anayesimama namba tisa ni Mayele. La pili kinacholeta utofauti ni utengenezaji wa magoli, Kabla hata ya ujio wa Baleke, Simba wameongoza kuwa ndio timu pekee Tanzania inayopika magoli mengi sana, tumeona Bocco wakati akipangwa anaingia nyavuni mara nyingi pamoja na ubovu na umri, tumeona Phiri akitumbukiza magoli mengi tu pindi alipopewa nafasi. Hivyo Baleke amekutana na timu yenye wapishi wengi tofauti ilivyo Yanga.
Na vipi kuhusu Kyombo?
 
Back
Top Bottom