Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

Takwimu: Mtu mwenye umri wa chini ya miaka 50 kufa kwa Corona ni sawa na jogoo kutaga mayai, sasa kwanini tunapanic?

Ubonge wao umeupima kwa macho au ni kwa kilo zao?
Ukiangalia kwa macho tu unaona vile mtu mwili unampa shida ila mtu A anaweza kuwa na kilo 100 akawa bonge lakini mtu B akawa na kilo hizo hizo 100 na asiwe bonge kutokana na mazoezi anayofanya pamoja na body index mass yake!
 
Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.2 ya ya watu wenye umri chini ya 50yrs hufa wanapougua Corona, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Maana katika kila watu 500 wenye umri chini ya 50yrs wanapougua Corona ni mmoja tu ndio anaweza kufa endapo atakuwa na matatizo mengine ya kiafya (ana ugonjwa mwingine ambao ulikwisha mdhoofisha)

View attachment 1391626
Pole Sana we unaye ogopa kufa siye tunaogopa kuumwa.
Kufa siyo mpaka korona - hata bajaji yaweza kukupeleka.
"Be a great thinker"
 
Una ubinafsi sana mkuu

Kwahiyo wafe walio above 50 tubaki wa <50? au unamaanisha wazee na wenye chronic medical conditions wachukue tahadhar kivyao?
 
Una ubinafsi sana mkuu

Kwahiyo wafe walio above 50 tubaki wa <50? au unamaanisha wazee na wenye chronic medical conditions wachukue tahadhar kivyao?
Mimi sijasema hivyo, umenielewa vibaya tu
 
 
Ni kweli ulichoandika, na ndio mana watoto wadogo sio lazima kuvaa mask. Saa nyingine mtu anakuwa na pre_ existing conditions bila kujijua. Ugonjwa ambao hujajua unao, ndio mana always ni vizuri kuchukua tahafhari.
 
Back
Top Bottom