Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ukiangalia kwa macho tu unaona vile mtu mwili unampa shida ila mtu A anaweza kuwa na kilo 100 akawa bonge lakini mtu B akawa na kilo hizo hizo 100 na asiwe bonge kutokana na mazoezi anayofanya pamoja na body index mass yake!Ubonge wao umeupima kwa macho au ni kwa kilo zao?
Ttz watu wengi afya mggoroUlevi huwa unashusha sana kinga ya mwili!
Kwani umeisikiliza ile hotuba yote kwa umakini, kuna muongozo very clear ameutoaUsitupotoshe.Kuishi kwa viwango vya huyo raisi ni kukataa kuishi.
Hapana.Kwani umeisikiliza ile hotuba yote kwa umakini, kuna muongozo very clear ameutoa
Pole Sana we unaye ogopa kufa siye tunaogopa kuumwa.Takwimu zinasema chini ya asilimia 0.2 ya ya watu wenye umri chini ya 50yrs hufa wanapougua Corona, lakini cha kushangaza watu wanachanganyikiwa as if ukiupata unakufa papo hapo, mortality rate kwa mtu wa chini ya 50 years ni kama haipo kabisa, sasa huku kuchanganyikiwa na kupanic kunasababishwa na nini?
Maana katika kila watu 500 wenye umri chini ya 50yrs wanapougua Corona ni mmoja tu ndio anaweza kufa endapo atakuwa na matatizo mengine ya kiafya (ana ugonjwa mwingine ambao ulikwisha mdhoofisha)
View attachment 1391626
Mimi sijasema hivyo, umenielewa vibaya tuUna ubinafsi sana mkuu
Kwahiyo wafe walio above 50 tubaki wa <50? au unamaanisha wazee na wenye chronic medical conditions wachukue tahadhar kivyao?