Yaani ni kituko cha historia au wamesahau kuwa walituambia waziri mkuu wao alikuwa na COVID -19 . Ama kweli muongo anasahau aliyoyasemaYaani.....hat PM Borris hajapona[emoji23][emoji23]wacheni tu tuendelee na yetu,lkwanza tunawindwa na mengi siyo Corona pakeyake.. Sikusudii kufa njaa na depression mimi! Lokudauni siziwezi mie ndege mchumia kinywani.
CCM ishakunyanyavua hadi unaiotanyie sijui mnaongelea data za sayari gani?? mmetumwa na CCM nini?
Corana ni hatari ,maambukizi yanaongezeka duniani kote
Korona imeogopa maandamano[emoji23][emoji23][emoji23]hata yule amerikani mpare wetu ametimba kitaa.Marekani siku hizi hatusikii update za mara kwa mara au maandamano yamekuja na dawa?