Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Tz hakuna corona, tulimwomba Mungu Yehova Akatujibu.
JESUS IS LORD!
JESUS IS LORD!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ivi ule mkusanyiko uliokuepo Coco beach siku za Eid Mubarak siku 14 si zimepita bado nasubiria maambukiz lkn sioni kitu...Tz hakuna corona, tulimwomba Mungu Yehova Akatujibu.
JESUS IS LORD!
Hakuna taarifa kuhusu recovered, wanaandika N/A maana yake hawana data kamiliIngia Worldometer ndo kuna takwimu halisi
Kwenye link hakuna data kwa recoveredInategemea na source uliyotumia-- wamerecover wengi mno katika hizo nchi Coronavirus Update (Live): 7,325,854 Cases and 413,763 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer
Nasikia WHO walimpa billions of money rais wa madascar ili dawa yake isiponyeshe watu lakini alikataa!Idadi ya wagonjwa inatengenezwa kuonekana ni ya kutisha na watu wamepewa hela iwe hivyo...Nina rafiki yangu Nigeria ananambia NCDC wanatangaza namba ya wagonjwa ambayo haipo wala wagonjwa hawajulikani
Mbona PM wa UK alipona lkn takwimu zinaonyesha ziro? Huyo aliyejaza hizo takwimu naye ni ziro.Habari wana JF
Ndugu zangu hizi takwimu zitolewazo na nchi husika mimi naona bado zina ukakasi sio tu kwa Africa hata kwa mabeberu inawezakana vip nchi kama Uingereza na Spain toka ugonjwa uingie huko hakuna aliyepona hata mmoja hii inaingia akilini kweli. Hivi kwenye ugonjwa huu mbona mabeberu wanatuzuga sana.
Ngoja sisi tuchape kazi wao waache wajiloki dauni
Yapo makubwa tuuYaani marekani na maandamano yote yale.
HAKUNA MAAMBUKIZI MAPYA?.
Kwahiyo walipuuza maelekezo ya wataalamu wao,mbali na kwamba marekani ndio inaongoza kwa vifo!!!!Yapo makubwa tuu
Wamepuuza ee si unaona kwenye maandamano watu nyomiii na hakuna tena social distancing.Kwahiyo walipuuza maelekezo ya wataalamu wao,mbali na kwamba marekani ndio inaongoza kwa vifo!!!!