Hili ndio kosa ambalo sisi wana yanga linatusumbua, wanasimba wanauliza kwani huyo mayele kwenye mechi ya juzi hiyo tarehe 11 hakucheza?Kwa hiyo alivyowatoboa kwenye ngao ya jamii hamhesabu,au yalikuwa mazoezi
Naona bado hamtaki kumwambia mwenzenu ukweliKwahio goli la Mayele kwenye Ngao ya hisani hamkiliona?
ww jamaa mgonjwa unafananisha huo huchafu na mayele izo dharau peleka kwenye kabila lenuView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ki msingi kuna tofauti ndogo sana kati ya Mayele, Nchimbi, Sarpong na YikpeNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Kumbe sio ligi kuu pekee? Haya twende hapa pamoja,Umeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.
Kwa mlioangalia goli la Mayele vs Biashara utd nakazia tu hii comment yanguKibu bado sana kwa Mayele
Kibu anafunga magoli mepesi hata asiyejua mpira anafunga
Ni goli moja tu (la mwisho la juzi) ndo niliona la maana, mengine yote ni obvious
Mkuu kumlinganisha Kibu na Mayele ni kaishusha hadhi soka, Kibu mlinganishe na Nchimbi, ni sawa na kuwalinganisha Mesi na LukakuKibu bado sana kwa Mayele
Kibu anafunga magoli mepesi hata asiyejua mpira anafunga
Ni goli moja tu (la mwisho la juzi) ndo niliona la maana, mengine yote ni obvious
Umehamia Yanga lini wewe?Hili ndio kosa ambalo sisi wana yanga linatusumbua, wanasimba wanauliza kwani huyo mayele kwenye mechi ya juzi hiyo tarehe 11 hakucheza?
Taja hayo magoli ya favorNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Muda unapost hii mechi ilikuwa bado ya ligi ya 10. Alikuwa anamaanisha na ipi?View attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ili ufananishe wachezaji kwa takwimu Kuna vitu vingi vya kuangalia.mfano uzoefu wa mazingira kwenye ligi husika.Kibu Denis ni mzoefu wa ligi na mazingira ya Bongo wakati Mayele hana muda mrefu kwenye ligi ya Bongo katika minajiri hiyo Huwezi kufananisha wachezaji hawa.Kwa mfano tuangalie kitakwimu niambie Kibu Denis ana Magoli mangapi kwenye timu yake ya Taifa tofauti na MayeleView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kagere, Tambwe, Okwi, Samatta kule Genk, n.k. walihitaji uzoefu wa muda gani?Ili ufananishe wachezaji kwa takwimu Kuna vitu vingi vya kuangalia.mfano uzoefu wa mazingira kwenye ligi husika.Kibu Denis ni mzoefu wa ligi na mazingira ya Bongo wakati Mayele hana muda mrefu kwenye ligi ya Bongo katika minajiri hiyo Huwezi kufananisha wachezaji hawa.Kwa mfano tuangalie kitakwimu niambie Kibu Denis ana Magoli mangapi kwenye timu yake ya Taifa tofauti na Mayele
Labda kama Tepsi Evance anacheza championship.Goli la msimu lishapatikana tayari.