Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lukaku mtoe muweke magwayaMkuu kumlinganisha Kibu na Mayele ni kaishusha hadhi soka, Kibu mlinganishe na Nchimbi, ni sawa na kuwalinganisha Mesi na Lukaku
uyo mayele hata timu ya wiki hayupoMayele kawabana vitunguu vinavyoninginia
Naomba link nikaangalie.
Akili yako ni sawa na poop deposits
Siku itakayojisogeza basi ujue ni kucheza fainali kabisa ya champions league au caf confederation cup
Sawa mkuu muda utaongea.Itawachukua karne moja kujisogeza kutoka round ya kwanza kwenda ya pili,hapo sijaongelea round ya pili kwenda Group stage[emoji3]
Definitely you too!Absolutely you are
nenda facebook au TwitterNaomba link nikaangalie.
Hahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
Wanajaribu kumpa promo Kibu ili aonekane ni mchezaji lakini kila mtu anajua kuwa ni garasaHahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
umeandika uchafu mtupu 🚮🚮🚮🚮Hahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
ndio hata page ya africa soccer zone ni tawi la simba tumewalipa kumueka kibu kikosi cha wikiWanajaribu kumpa promo Kibu ili aonekane ni mchezaji lakini kila mtu anajua kuwa ni garasa
Nikajua ni source ya kueleweka kumbe ni hiyo. Hiyo page ni Kama page za akina shafii dauda tu.ndio hata page ya africa soccer zone ni tawi la simba tumewalipa kumueka kibu kikosi cha wiki
View attachment 2061481
kamuone daktari kwa hayo maumivuNikajua ni source ya kueleweka kumbe ni hiyo. Hiyo page ni Kama page za akina shafii dauda tu.
Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.