Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Mayele kawabana vitunguu vinavyoninginia
uyo mayele hata timu ya wiki hayupo
unakaza fuvu bure

51F0AF13-BF10-4A19-B243-C477699CF5DB.jpeg
 
Huyu kibu anacheza sana mechi ndogondogo ambazo hazina pressure kabisa,umlinganishe na Mayele?
 
uyo mayele hata timu ya wiki hayupo
unakaza fuvu bure

View attachment 2059860
Hahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
 
Hahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
Wanajaribu kumpa promo Kibu ili aonekane ni mchezaji lakini kila mtu anajua kuwa ni garasa
 
Hahahahaaa.Simba kazi mnayo,mtatengeneza na visivyoweza kutengenezeka.Mabingwa wa kutengeneza takwimu kusifia vibovu mlivyonavyo.Huyo Kibu Denis kwenye mechi ya Ngao ya jamii alikuwepo au hakuwepo? Kama alikuwepo alifanya nn? Narudia tena na tena Mayele anafunga Magoli magumu na mepesi.Kamwe Huwezi kumfananisha Mayele na Kibu Denis,Huwezi kufananisha Mbingu na Ardhi,Maji na mafuta.Muda unavyozidi kwenda ukweli utathibitika kwenye hili.Ukiwahoji mabeki wengi wa Bongo watakujibu ni rahisi kumkaba Kibu Denis kuliko Mayele,Mayele ni msumbufu ukabaji wake unahitaji maarifa zaidi kuliko nguvu.Beki kisiki wa Simba mzee Onyango anajua hili.Ni mshambuliaji ambaye anakupeleka puta muda wote ukizubaa kakuacha na kufanya mambo yake.Tuache ushabiki tuseme ukweli. Huyu Mayele Kashawafunga Simba kwenye mechi ya muhimu na kufanikisha Yanga kunyanyua kwapa.Niambie Kibu Denis wapi kafanya hivyo? Timu imeshashinda Magoli mawili,mpinzani ameshanyong'onyea na kukata tamaa yeye ndiyo anafunga goli na kufurahia utazania mfungwa wa kifungo Cha maisha ghafla apate msamaha wa kuachiwa huru.Ni suala la Muda tu ligi si inaendelea mtakuja kumkubali Mayele kama ni striker hatari hakuna wa kumfananisha nae hapa Bongo .
umeandika uchafu mtupu 🚮🚮🚮🚮
nimeweka hapo kikosi cha wiki ligi za afrika kibu ndani ya nyumba uyo mayele wenu hayupo
uto bna
 
Wanajaribu kumpa promo Kibu ili aonekane ni mchezaji lakini kila mtu anajua kuwa ni garasa
ndio hata page ya africa soccer zone ni tawi la simba tumewalipa kumueka kibu kikosi cha wiki

A66FA907-DCAB-484C-B371-991BE58660CE.jpeg
 
Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa

Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.

Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki

Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.

Mmmmmm subiri usome namba
 
Back
Top Bottom