Watazitoa wapi na wanaishi majalalani!sijui akili hua hawana
Kwa taarifa tu ni kwamba ligi nyingi duniani huwa ngumu zaidi raundi ya pili sasa kama sasa hivi hapigi goli nyingi ukizisubiri raundi ya pili basi utakuwa umelala sana na hujui usemaloKulinganisha mayele na kibu ni ku kosea mayele adabu
Kibu bado saana mayele bado mgeni kwenye league wewe subiri league raundi ya pili
Huko kwenu mwenye goals nyingi zaidi ya Mayele ni nani?Kwa taarifa tu ni kwamba ligi nyingi duniani huwa ngumu zaidi raundi ya pili sasa kama sasa hivi hapigi goli nyingi ukizisubiri raundi ya pili basi utakuwa umelala sana na hujui usemalo
.
Hata Ulaya utasikia round ya kwanza fulani anatisha mechi tano magoli 10 ila mwisho wa msimu unakuta kafunga magoli 25 kwa mechi 38
So huyo Mayele alitakiwa awe na goli nyingi zaidi sasa la sivyo ni wa kawaida tu kwani huko Congo alikuwa mfungaji bora?
Mpalange FC hamjui mpirakibu ni takataka yaani hafai kuwa hata muokota mipira
Umeumbukakwa hiyo MYele anamfukuzia Kibu
Umewataja kamba kwamba wanatupia sana uzuri stats huwa hazidanganyi;Huu ni uchambuzi chupli chupli .......kwanza angalia utofauti kikosi cha Simba na yanga.....
Kikosi cha Yanga kila mtu anakufunga .....utaona feitoto , ntibazonkiza, DR Aucho ,. Mayele,. Mauya wote wanafunga so hicho ni kikosi bora
Simba Kuna wafungaj special ...kagere, morison, na kibu
Chambuen kiundani zaid
Kibu. Sura kama kirobot flan hivView attachment 2058993
Sio Yanga huyo, ni pure Kolo FCUmehamia Yanga lini wewe?
sasa kama ni hivyo mbona goli la Ngao ya jamii hamjaliwekaUmeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.
sasa kama ni hivyo mbona goli la Ngao ya jamii hamjaliweka
ujue makolo mshavurugwa [emoji1787]
Siku itakayojisogeza basi ujue ni kucheza fainali kabisa ya champions league au caf confederation cupTuvurugwe na mechi za mchangan,Team haliwezi hata kujisogeza hatua moja mashindano ya Kimataifa ndiyo lituvuruge,Uto kama Uto aka Kabwili FC mtakuwa mmechanganyikiwa.
Umeandika kwa kujitoa ufaham au kwa makusudi?Huu ni uchambuzi chupli chupli .......kwanza angalia utofauti kikosi cha Simba na yanga.....
Kikosi cha Yanga kila mtu anakufunga .....utaona feitoto , ntibazonkiza, DR Aucho ,. Mayele,. Mauya wote wanafunga so hicho ni kikosi bora
Simba Kuna wafungaj special ...kagere, morison, na kibu
Chambuen kiundani zaid
Kibu. Sura kama kirobot flan hivView attachment 2058993
Yes... ni ile diving header ya Meddie Kagere dhidi ya Namungo. Alivyowapoteza walinzi 4 na kufunga lile goli ni akili kubwaGoli la msimu lishapatikana tayari.
Makolo mmeumbwa kusahau haraka sana!Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Na ww toa ushuzii wa kwako
Akili yako ni sawa na poop depositsAkili yako ni sawa na fecal sample