Takwimu za Mayele vs Phiri, nani mkali?

Unafananisha ushuzi na hewa safi!!?
 
Sasa kwa nini unawalinganisha?
Basi angalau weka mashuti walioyapiga langoni tuone. Tusiende putaputa tutaonekana wajinga.
Wote ni wafungaji .....lkn wanaongozwa na makocha wenye skills tofauti
 
Usimfananishe Phili mcheza anayecheza timu kubwa inayocheza makombe makubwa kimataifa CAF na hiyo TAKATAKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…