Takwimu za mechi za Simba vs Vipers & Yanga vs AS Real Bamako

Takwimu za mechi za Simba vs Vipers & Yanga vs AS Real Bamako

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa usahihi ni 301, Bamako pasi 350 na zilizofika kwa usahihi ni 261.

Pasi za Simba zilizofika kwa usahihi ni nyingi kuliko pasi zote zilizopigwa na timu nyingine yoyote katika hizi mechi mbili. Vivyo hivyo katika ball possession, total shots, shots on goal na dangerous attacks Simba ilikuwa juu zaidi. Sijajua bado ni kipi kinaamua ubovu wa Simba, labda uchache wa mabao.

Kwa hisani ya Soccer24
Soccer24: Live Soccer Scores, Results. Online Football Results

1678421922564.png
 
Tafuta takwimu zaidi hizo pasi zilikuwa zinakwenda wapi na ndio tatizo la ubovu wa simba kukosa magoli
Takwimu zote kuhusu pasi zipo hapo, yaani zilizopigwa na zilizofika. Nitafute nini tena? Nilitaka nijue ubovu wa Simba unaotajwa ni upi, afadhali umesema kuwa kumbe timu ikipata mabao machache huwa ni mbovu
 
Katika hatua ya makundi, watu tunaangalia idadi ya mechi unazoshinda, lakini pia idadi ya magoli ya kufungwa na kufunga!

Mnacheza ma back pass, halafu mnakuja kujisifia! Ngoja muende kwanza kwa Waarab, ili mkakione cha mtema kuni na hayo ma back pass yenu. Safari hii lazima muondoke na wiki! Na siyo khamsa tena.
 
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa usahihi ni 301, Bamako pasi 350 na zilizofika kwa usahihi ni 261.

Pasi za Simba zilizofika kwa usahihi ni nyingi kuliko pasi zote zilizopigwa na timu nyingine yoyote katika hizi mechi mbili. Vivyo hivyo katika ball possession, total shots, shots on goal na dangerous attacks Simba ilikuwa juu zaidi. Sijajua bado ni kipi kinaamua ubovu wa Simba, labda uchache wa mabao.

Kwa hisani ya Soccer24
Soccer24: Live Soccer Scores, Results. Online Football Results

View attachment 2543899
Records don't lie
 
Kilele cha wananchi. Tena siku hiyo Harmonize alidondokea mgongo
Ila ukumbuke tu bado hujajibu swali kwa usahihi. Kilelele cha Mwananchi ni Bonanza la kutambulisha wachezaji wapya na wale wa zamani, kwa ajili ya msimu mpya wa ligi.

Hivyo hamuwezi kuitumia hiyo mechi kama kipimo cha ubora kati ya Yanga na Vipers.
 
Katika hatua ya makundi, watu tunaangalia idadi ya mechi unazoshinda, lakini pia idadi ya magoli ya kufungwa na kufunga...
Kabla ya Waarabu tuna mechi ya Horoya. Hatuangalii za mbali wakati ya karibu bado ipo
 
Ila ukumbuke tu bado hujajibu swali kwa usahihi. Kilelele cha Mwananchi ni Bonanza la kutambulisha wachezaji wapya na wale wa zamani, kwa ajili ya msimu mpya wa ligi...
Kumbuka Vipers inashiriki Ligi ya Mabingwa barani Afrika, haikutolewa bali iliitoa TP Mazembe
 
Back
Top Bottom