LGE2024 Takwimu za uandikishaji Uchaguzi Serikali za Mitaa kulinganisha na idadi ya watu. Baadhi walioandikishwa wazidi idadi ya watu

LGE2024 Takwimu za uandikishaji Uchaguzi Serikali za Mitaa kulinganisha na idadi ya watu. Baadhi walioandikishwa wazidi idadi ya watu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wanasiasa wanaharibu sana na kwa mtindo huu nchi kuendelea itakuwa ngumu takwimu ni za kupikwa hizo.
Nchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..
Lazima Tuwe Accountable kwa Matatizo tunayosababisha..

Kama Watu hawakujiandikisha wa Kujitosheleza Ilipaswa Waziri awe accountable na sio Kutengeneza Data ili kumuonyesha Rais kwamba Alifanya kazi

Wanamdanganya Sana Rais
 
Yule DC wa maporini alisema kabisa uchaguzi huu kazi walishamaliza....Msitufanye wajingat...Kwenye vituo kulikuwa na watu wachache sana waliojiandikisha hadi walikuwa wanatuma meseji nne nne watu waende kujiandikisha lakini cha kushangaza mchengerwa (Mkwe) anakuja na takwimu za DC wa Maporini kwamba 98% wamejiandikisha huku wengi ni FOJI FOJI NA NGAI.
 
Kwanini jpm nisinge mwita mpumbavu .....jpm alikuwa mzalendo yote aliyo fanya iwe ni kuua au kuiba kura au kudhibiti upinzani aliyafanya kwa lengo la kujenga nchi na kwa kuwajali wananchi na kwa kuwaletea maendeleo wananchi
Kuua raia wako, kuiba kura au kudhibiti upinzani kunaletaje maendeleo? Hembu fafanua tuelewe.
 
Hao wahamiaji wanatoka Sehemu gani kwenda Sehemu gani kwanini wakihama Hiyo sehemu wanapotoka Kusionekane Upungufu wa watu..

Watu wengi sana hawajajiandikisha (Ninaweza nikaamni hivyo)..

Then imekuaje Idadi imekuwa Kubwa..

Tuhojioane kwa facts Wala sio mpango wangu kupinga jitihada za serikali ila Kuuliza wakati mwingine kupata Reasoning sio ujinga..

Mkoa wa Mwanza; Sensa ya Watu na Makazi 2022. Waliokuwa na miaka 16 na kuendelea ni 1.95 milioni

Mkoa wa Mwanza; Waliojiandikisha kupiga kura uchaguzi Serikali za Mitaa mwaka 2024 ni watu 2.08 milioni

Ongezeko limekuwa Kubwa Kuliko idadi husika Means watu zaidi ya laki kadhaa na ushee wamehamia vipi huko walikohama mbona hakuna upungufu??

Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi 2022 Jumla ya watu Tanzania ni 61,741,120. Ukitoa jumla ya watu wote na idadi ya watoto unabaki na watu wazima 30,700,956.

Watu wanaostahili kupiga kura kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi 2022 ni 26,597,464. Waliojiandikisha kupiga kura ni watu 31,282,331

Kwamba OR-TAMISEMI wameandikisha wapiga kura katika daftari la mkaazi kupiga kura uchaguzi Serikali za Mitaa zaidi ya idadi ya watu wazima katika SENSA?

Ofisi ya Rais - TAMISEMI inasema watu 4,684,867 wamepanda umri kutoka kwenye watoto ndani ya mwaka mmoja na ushee?

Ofisi ya Rais - TAMISEMI wanasema Dar es Salaam wamejiandikisha wapiga kura 3,483,970.

Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha Dar es Salaam ina jumla ya wakazi 5,383,728. TAMISEMI wanasema zaidi ya nusu wamejiandikisha kupiga kura.
Njoo ujibu hii hoja Joseph Ludovick acha kutuletea blaah blaah, CCM wanafanya ujinga mwingi sana kwenye mambo ambayo ni ya msingi kwenye maisha ya watanzania ambao ni wengi.

Huwa inashangaza sana na kuleta ukakasi kwanini wanakuwa wanadanganya kwenye mambo ambayo ni muhimu kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi.
Joseph Ludovick tunataka ufafanuzi wa hoja iliyowekwa na DR Mambo Jambo
 
Nawashangaa sana

Ova
Nikiwaambia MBOWE NA CHADEMA WANAO JIHITA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI NI WAPUMBAVU WATU WANADHANI MIMI NAPENDA KUTUKANA ...kuiondoa ccm madarakani ni rahisi sana kama ukiwa na watu sahihi kwenye chama chenu ...kwa sasa vyama vya upinzani vimewapa vyeo watu dhaifu sana kiakili ...mfano ili jambo la utekaji liliweza kutatuliwa kwa kauli moja tu ya Akili ambayo hadi sasa sijaisikia kutoka chadema. Chadema hawana akili ...bora kukosa elimu ila usikose akili ni laana hiyo ....hata sasa ukitazama tatizo la samia ni kukosa akili kama ninavyo sema siku zote wanawake wana akili ndogo sana aijalishi ni mama yako au la.
 
Nikiwaambia MBOWE NA CHADEMA WANAO JIHITA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI NI WAPUMBAVU WATU WANADHANI MIMI NAPENDA KUTUKANA ...kuiondoa ccm madarakani ni rahisi sana kama ukiwa na watu sahihi kwenye chama chenu ...kwa sasa vyama vya upinzani vimewapa vyeo watu dhaifu sana kiakili ...mfano ili jambo la utekaji liliweza kutatuliwa kwa kauli moja tu ya Akili ambayo hadi sasa sijaisikia kutoka chadema. Chadema hawana akili ...kosa elimu.ila usikose akili ni laana hiyo ....hata sasa ukitazama tatizo la samia ni kukosa akili kama ninavyo sema diku zote wanawake wana akili.ndogo sana aijalishi ni mama yako au la.
Vipi kuhusu Zitto na ACT au Lipumba na CUF??
 
Nawashangaa sana

Ova
SISIEMU walishasema wanambinu karibu 100 za ushindi ,2015 walisema walishatumia mbili tu zimebaki 98 na hivyo hawawezi kuondolewa kwenye sanduku la kura.

Hata DC aliyeondolewa yule aliyesema kwamba kuna vitu walifanya maporini ,alisema kwamba kwenye uchaguzi huu wa Nov kazi walishamaliza 😀 😀 😀 😀 .
 
Kuua raia wako, kuiba kura au kudhibiti upinzani kunaletaje maendeleo? Hembu fafanua tuelewe.
Jibu je ni SIASA KWA AJILI YA MAENDELEO AU NI MAENDELEO KWA AJILI YA SIASA ? pia siasa zinaweza kutumiwa na maadui kukwamisha maendeleo iwe ni siasa za upinzani au siasa za chama tawala ....wapinzani watanzania ni wapuuzi kipindi cha jpm walitumika kikamilifu kupinga maendeleo na hiyo ndiyo imewafanya watz kuwapuuza sasa maana samia anafanya kinyume na maendeleo na wao walimsifu na kumponda jpm ...siasa inaweza kuwa dhidi ya maendeleo siasa inaweza kuwa dhidi ya haki pia siasa inaweza kuwa dhidi ya demokrasia pia... Hayo ni matokeo ya (SIASA KUWA VIRUS) yaani (SIASA UCHWARA)na hiki ndicho kilicho mfanya jpm kuwadharau upinzani ....tanzania kwa sasa....CCM NA UPINZANI WOTE NI VIRUS.

HUU UPUUZI WA SIASA VIRUS NDIYO ALIOUCHUKIA JPM NA KUJIKITA KULETEA NCHI MAENDELEO ZAIDI ..KWA SABABU KAMWE SIASA VIRUS HAZIPO KULETEA NCHI NA WANANCHI MAENDELEO.
 
Nchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..
Lazima Tuwe Accountable kwa Matatizo tunayosababisha..

Kama Watu hawakujiandikisha wa Kujitosheleza Ilipaswa Waziri awe accountable na sio Kutengeneza Data ili kumuonyesha Rais kwamba Alifanya kazi

Wanamdanganya Sana Rais
Rais mwenyewe usikute ndio ametoa maagizo. Wananchi ndio wanadanganywa
 
Jibu je ni SIASA KWA AJILI YA MAENDELEO AU NI MAENDELEO KWA AJILI YA SIASA ? pia siasa zinaweza kutumiwa na maadui kukwamisha maendeleo iwe ni siasa za upinzani au siasa za chama tawala ....wapinzani watanzania ni wapuuzi kipindi cha jpm walitumika kikamilifu kupinga maendeleo na hiyo ndiyo imewafanya watz kuwapuuza sasa maana samia anafanya kinyume na maendeleo na wao walimsifu na kumponda jpm ...siasa inaweza kuwa dhidi ya maendeleo siasa inaweza kuwa dhidi ya haki pia siasa inaweza kuwa dhidi ya demokrasia pia hayo ni matokeo ya (SIASA KUWA VIRUS) yaan8 (SIASA UCHWARA)na hiki ndicho kilicho mfanya jpm kuwadharau upinzani ....tanzania kwa sasa....CCM NA UPINZANI WOTE NI VIRUS.

HUU UPUUZI WA SIASA VIRUS NDIYO ALIOUCHUKIA JPM NA KUJIKITA KULETEA NCHI MAENDELEO ZAIDI ..KWA SABABU KAMWE SIASA VIRUS HAZIPO KULETEA NCHI NA WANANCHI MAENDELEO.
Maadui gani waliokuwa wanataka kukwamisha maendeleo ya Tanzania na kwa sababu zipi?

Wapinzani walipingaje maendeleo wakati wa JPM? Mtu akisema hataki umeme wa maji bali anataka wa gesi kama Zitto au Nape anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki serikali inununue ndege badala yake ijenge barabara za lami vijijini anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki SGR kwanza badala yake anataka maji safi na hospital zenye madaktari kwanza anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema mkivunja mikataba ambayo serikali ilisaini mtashitakiwa anakuwa anapinga maendeleo?

Kama Wapinzani wanadharauliwa na raia kwa kumpinga JPM kwa nini suala la Tume huru ya uchaguzi bado ni shida? Kwa nini uandikishaji wa serikali za mitaa umejaa sarakasi? Kwa nini maandamano ya upinzani yanazuiliwa kwa nguvu kubwa?
 
Nchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..
Lazima Tuwe Accountable kwa Matatizo tunayosababisha..

Kama Watu hawakujiandikisha wa Kujitosheleza Ilipaswa Waziri awe accountable na sio Kutengeneza Data ili kumuonyesha Rais kwamba Alifanya kazi

Wanamdanganya Sana Rais
Wewe unazani uyo waziri kufanya ivo ni kujinufaisha yeye?

Ayo ni maazimio ya chama uyo waziri ni mjumbe tu.
Unazana wasipopika takwimu na kuongez idadi ya wapiga kura hewa wao watashinda vipi uwo uchaguzi?

Kinachofanyika apo hata itokee mgombea wa upinzani ameshinda kihalali bc idadi za wapiga kura hewa zinatosha kuwapa ushindi ccm pasipo kupata ata kura 1 ya halali.

Na ccm wanafanya ivo kwa kujua wananchi hakula lolote watakalofanya zaid ya kulalamika t mitandaoni

Nyinyi mnawaona kama wajinga ila yao ndo yanawanyookea ivo.
 
Dar es Salaam's 2024 population is now estimated at 8,161,230. 🤣🤣🤣

Ina maana hapo kwenye watu waliojiandikisha zaidi ya milioni 3 wapo above 18 halafu na waliogoma kujiandikisha wapo kibao tu au ndio watu waliokuwa wanajiandikisha zaidi ya mara 3 kwenye kituo kimoja kwa siku tofauti tofauti nao wamejumuishwa? Uhuni ulikuwa mwingi sana unakuta kata ina mitaa mitano mtu anazunguka kila mtaa kujiandikisha zaidi ya mara moja naye ameingizwa kwenye hizo takwimu. Yaani Watanzania wengi ni mazuzu sana.

Inatakiwa hata huu Uchaguzi wa serikali za mitaa watu wangetumia vitambulisho vya kupigia kura tu.
Sasa msimamizi wa Uchaguzi Mchengerwa mkwe wa Rais, CCM,Waziri na Mbunge .... Yaani Refa wao, uwanja wao, wachezaji wao halafu wanajitapa eti ni fair game ....CCM ni zaidi ya wajinga na wananchi ndio wajinga squared ila wapinzani wote ndio wajinga squared squared
 
View attachment 3133165
Nimeona kwenye magroup ya watsap data hii ambayo haijatolewa na NBS. wanaoisambaza wanaitumia kukejeli taarifa ya Mh. Waziri juu ya uandikishaji wa daftari la wakaazi.

Ingawa imekuwa culled down mtandaoni, lakini inakaribiana na ukweli wa data ambazo ziko publicly available.
Ukiangalia trend hapo ni kuwa kila mwaka isipokuwa mwaka 2009 walioandikishwa ni pungufu ya makadirio, Mwaka huu pia makadirio hayakufikiwa kila mahali.

Kuna discrepancy ndogo tu kwa mikoa ya Mwanza na Dodoma ambayo ni rahisi kueleweka kwa sababu haya ni majiji yanayokua yamkini kuna wahamiaji wengi kutoka nchi nzima ambao wako range ya umri huo.
Sioni hoja yoyote ya kupanikisha mtu hapo. Katibu wa Uenezi wa CCM ndg Amos Makala amesema jana kuwa Chama chake kimeridhishwa na uandikishaji. Twendeni kwenye uchaguzi acheni kulialia.
Chawa kupe unateseka ukiwa wapi?:KEKLaugh::BearLaugh::BearLaugh:
 
97935713-C3FE-4A7E-A65C-648A82EAE0A4.jpeg
 
J
Maadui gani waliokuwa wanataka kukwamisha maendeleo ya Tanzania na kwa sababu zipi?

Wapinzani walipingaje maendeleo wakati wa JPM? Mtu akisema hataki umeme wa maji bali anataka wa gesi kama Zitto au Nape anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki serikali inununue ndege badala yake ijenge barabara za lami vijijini anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki SGR kwanza badala yake anataka maji safi na hospital zenye madaktari kwanza anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema mkivunja mikataba ambayo serikali ilisaini mtashitakiwa anakuwa anapinga maendeleo?

Kama Wapinzani wanadharauliwa na raia kwa kumpinga JPM kwa nini suala la Tume huru ya uchaguzi bado ni shida? Kwa nini uandikishaji wa serikali za mitaa umejaa sarakasi? Kwa nini maandamano ya upinzani yanazuiliwa kwa nguvu kubwa?
Siku zote anapotokea kiongozi mzuri na makini basi wewe jua tu huyo mtu lazima atapata maadui wabaya sana na wenye nguvu sana hii ni kanuni hipo hata kwenye vitabu vyenu vya dini mfano daudi ..daniel ...yesu ...muhammad...nk walikutana na hayo mambo na hapo ndipo maadui wanatumia siasa virus kuhalifu jambo jema....wewe ukipata uongozi sehemu yoyote ukaanza kufsnya mambo kwa uhadilifu wale wanufaika wa mambo maovu watakuchukia ...ukisnza kufunga milango ya wizi na ufisadi utachukiwa vibaya sana .. .unajua kwa nini ?
 
Back
Top Bottom