DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Nchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..Wanasiasa wanaharibu sana na kwa mtindo huu nchi kuendelea itakuwa ngumu takwimu ni za kupikwa hizo.
Waliokuwa na miaka 80 mwaka 2022 hawajafa??Waliokuwa na 16 mwaka 2022 sasa wana 18.
Kuua raia wako, kuiba kura au kudhibiti upinzani kunaletaje maendeleo? Hembu fafanua tuelewe.Kwanini jpm nisinge mwita mpumbavu .....jpm alikuwa mzalendo yote aliyo fanya iwe ni kuua au kuiba kura au kudhibiti upinzani aliyafanya kwa lengo la kujenga nchi na kwa kuwajali wananchi na kwa kuwaletea maendeleo wananchi
Njoo ujibu hii hoja Joseph Ludovick acha kutuletea blaah blaah, CCM wanafanya ujinga mwingi sana kwenye mambo ambayo ni ya msingi kwenye maisha ya watanzania ambao ni wengi.Hao wahamiaji wanatoka Sehemu gani kwenda Sehemu gani kwanini wakihama Hiyo sehemu wanapotoka Kusionekane Upungufu wa watu..
Watu wengi sana hawajajiandikisha (Ninaweza nikaamni hivyo)..
Then imekuaje Idadi imekuwa Kubwa..
Tuhojioane kwa facts Wala sio mpango wangu kupinga jitihada za serikali ila Kuuliza wakati mwingine kupata Reasoning sio ujinga..
Mkoa wa Mwanza; Sensa ya Watu na Makazi 2022. Waliokuwa na miaka 16 na kuendelea ni 1.95 milioni
Mkoa wa Mwanza; Waliojiandikisha kupiga kura uchaguzi Serikali za Mitaa mwaka 2024 ni watu 2.08 milioni
Ongezeko limekuwa Kubwa Kuliko idadi husika Means watu zaidi ya laki kadhaa na ushee wamehamia vipi huko walikohama mbona hakuna upungufu??
Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi 2022 Jumla ya watu Tanzania ni 61,741,120. Ukitoa jumla ya watu wote na idadi ya watoto unabaki na watu wazima 30,700,956.
Watu wanaostahili kupiga kura kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi 2022 ni 26,597,464. Waliojiandikisha kupiga kura ni watu 31,282,331
Kwamba OR-TAMISEMI wameandikisha wapiga kura katika daftari la mkaazi kupiga kura uchaguzi Serikali za Mitaa zaidi ya idadi ya watu wazima katika SENSA?
Ofisi ya Rais - TAMISEMI inasema watu 4,684,867 wamepanda umri kutoka kwenye watoto ndani ya mwaka mmoja na ushee?
Ofisi ya Rais - TAMISEMI wanasema Dar es Salaam wamejiandikisha wapiga kura 3,483,970.
Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha Dar es Salaam ina jumla ya wakazi 5,383,728. TAMISEMI wanasema zaidi ya nusu wamejiandikisha kupiga kura.
Nikiwaambia MBOWE NA CHADEMA WANAO JIHITA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI NI WAPUMBAVU WATU WANADHANI MIMI NAPENDA KUTUKANA ...kuiondoa ccm madarakani ni rahisi sana kama ukiwa na watu sahihi kwenye chama chenu ...kwa sasa vyama vya upinzani vimewapa vyeo watu dhaifu sana kiakili ...mfano ili jambo la utekaji liliweza kutatuliwa kwa kauli moja tu ya Akili ambayo hadi sasa sijaisikia kutoka chadema. Chadema hawana akili ...bora kukosa elimu ila usikose akili ni laana hiyo ....hata sasa ukitazama tatizo la samia ni kukosa akili kama ninavyo sema siku zote wanawake wana akili ndogo sana aijalishi ni mama yako au la.Nawashangaa sana
Ova
Vipi kuhusu Zitto na ACT au Lipumba na CUF??Nikiwaambia MBOWE NA CHADEMA WANAO JIHITA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI NI WAPUMBAVU WATU WANADHANI MIMI NAPENDA KUTUKANA ...kuiondoa ccm madarakani ni rahisi sana kama ukiwa na watu sahihi kwenye chama chenu ...kwa sasa vyama vya upinzani vimewapa vyeo watu dhaifu sana kiakili ...mfano ili jambo la utekaji liliweza kutatuliwa kwa kauli moja tu ya Akili ambayo hadi sasa sijaisikia kutoka chadema. Chadema hawana akili ...kosa elimu.ila usikose akili ni laana hiyo ....hata sasa ukitazama tatizo la samia ni kukosa akili kama ninavyo sema diku zote wanawake wana akili.ndogo sana aijalishi ni mama yako au la.
Kwani si wajinga kweli. Tanzania hata kichaa akiwa na akili ya kuvukia barabara anaweza kuiongoza.Huu ujinga wa hali ya juu, CCM wanaona watanzania wajinga.
SISIEMU walishasema wanambinu karibu 100 za ushindi ,2015 walisema walishatumia mbili tu zimebaki 98 na hivyo hawawezi kuondolewa kwenye sanduku la kura.Nawashangaa sana
Ova
Jibu je ni SIASA KWA AJILI YA MAENDELEO AU NI MAENDELEO KWA AJILI YA SIASA ? pia siasa zinaweza kutumiwa na maadui kukwamisha maendeleo iwe ni siasa za upinzani au siasa za chama tawala ....wapinzani watanzania ni wapuuzi kipindi cha jpm walitumika kikamilifu kupinga maendeleo na hiyo ndiyo imewafanya watz kuwapuuza sasa maana samia anafanya kinyume na maendeleo na wao walimsifu na kumponda jpm ...siasa inaweza kuwa dhidi ya maendeleo siasa inaweza kuwa dhidi ya haki pia siasa inaweza kuwa dhidi ya demokrasia pia... Hayo ni matokeo ya (SIASA KUWA VIRUS) yaani (SIASA UCHWARA)na hiki ndicho kilicho mfanya jpm kuwadharau upinzani ....tanzania kwa sasa....CCM NA UPINZANI WOTE NI VIRUS.Kuua raia wako, kuiba kura au kudhibiti upinzani kunaletaje maendeleo? Hembu fafanua tuelewe.
Rais mwenyewe usikute ndio ametoa maagizo. Wananchi ndio wanadanganywaNchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..
Lazima Tuwe Accountable kwa Matatizo tunayosababisha..
Kama Watu hawakujiandikisha wa Kujitosheleza Ilipaswa Waziri awe accountable na sio Kutengeneza Data ili kumuonyesha Rais kwamba Alifanya kazi
Wanamdanganya Sana Rais
Wapumbavu wazoefuVipi kuhusu Zitto na ACT au Lipumba na CUF??
Maadui gani waliokuwa wanataka kukwamisha maendeleo ya Tanzania na kwa sababu zipi?Jibu je ni SIASA KWA AJILI YA MAENDELEO AU NI MAENDELEO KWA AJILI YA SIASA ? pia siasa zinaweza kutumiwa na maadui kukwamisha maendeleo iwe ni siasa za upinzani au siasa za chama tawala ....wapinzani watanzania ni wapuuzi kipindi cha jpm walitumika kikamilifu kupinga maendeleo na hiyo ndiyo imewafanya watz kuwapuuza sasa maana samia anafanya kinyume na maendeleo na wao walimsifu na kumponda jpm ...siasa inaweza kuwa dhidi ya maendeleo siasa inaweza kuwa dhidi ya haki pia siasa inaweza kuwa dhidi ya demokrasia pia hayo ni matokeo ya (SIASA KUWA VIRUS) yaan8 (SIASA UCHWARA)na hiki ndicho kilicho mfanya jpm kuwadharau upinzani ....tanzania kwa sasa....CCM NA UPINZANI WOTE NI VIRUS.
HUU UPUUZI WA SIASA VIRUS NDIYO ALIOUCHUKIA JPM NA KUJIKITA KULETEA NCHI MAENDELEO ZAIDI ..KWA SABABU KAMWE SIASA VIRUS HAZIPO KULETEA NCHI NA WANANCHI MAENDELEO.
Wewe unazani uyo waziri kufanya ivo ni kujinufaisha yeye?Nchii ambayo haina Transparency na Accountability Kuendelea Ni Vigumu sana..
Lazima Tuwe Accountable kwa Matatizo tunayosababisha..
Kama Watu hawakujiandikisha wa Kujitosheleza Ilipaswa Waziri awe accountable na sio Kutengeneza Data ili kumuonyesha Rais kwamba Alifanya kazi
Wanamdanganya Sana Rais
Sasa msimamizi wa Uchaguzi Mchengerwa mkwe wa Rais, CCM,Waziri na Mbunge .... Yaani Refa wao, uwanja wao, wachezaji wao halafu wanajitapa eti ni fair game ....CCM ni zaidi ya wajinga na wananchi ndio wajinga squared ila wapinzani wote ndio wajinga squared squaredDar es Salaam's 2024 population is now estimated at 8,161,230. 🤣🤣🤣
Ina maana hapo kwenye watu waliojiandikisha zaidi ya milioni 3 wapo above 18 halafu na waliogoma kujiandikisha wapo kibao tu au ndio watu waliokuwa wanajiandikisha zaidi ya mara 3 kwenye kituo kimoja kwa siku tofauti tofauti nao wamejumuishwa? Uhuni ulikuwa mwingi sana unakuta kata ina mitaa mitano mtu anazunguka kila mtaa kujiandikisha zaidi ya mara moja naye ameingizwa kwenye hizo takwimu. Yaani Watanzania wengi ni mazuzu sana.
Inatakiwa hata huu Uchaguzi wa serikali za mitaa watu wangetumia vitambulisho vya kupigia kura tu.
Chawa kupe unateseka ukiwa wapi?View attachment 3133165
Nimeona kwenye magroup ya watsap data hii ambayo haijatolewa na NBS. wanaoisambaza wanaitumia kukejeli taarifa ya Mh. Waziri juu ya uandikishaji wa daftari la wakaazi.
Ingawa imekuwa culled down mtandaoni, lakini inakaribiana na ukweli wa data ambazo ziko publicly available.
Ukiangalia trend hapo ni kuwa kila mwaka isipokuwa mwaka 2009 walioandikishwa ni pungufu ya makadirio, Mwaka huu pia makadirio hayakufikiwa kila mahali.
Kuna discrepancy ndogo tu kwa mikoa ya Mwanza na Dodoma ambayo ni rahisi kueleweka kwa sababu haya ni majiji yanayokua yamkini kuna wahamiaji wengi kutoka nchi nzima ambao wako range ya umri huo.
Sioni hoja yoyote ya kupanikisha mtu hapo. Katibu wa Uenezi wa CCM ndg Amos Makala amesema jana kuwa Chama chake kimeridhishwa na uandikishaji. Twendeni kwenye uchaguzi acheni kulialia.
Siku zote anapotokea kiongozi mzuri na makini basi wewe jua tu huyo mtu lazima atapata maadui wabaya sana na wenye nguvu sana hii ni kanuni hipo hata kwenye vitabu vyenu vya dini mfano daudi ..daniel ...yesu ...muhammad...nk walikutana na hayo mambo na hapo ndipo maadui wanatumia siasa virus kuhalifu jambo jema....wewe ukipata uongozi sehemu yoyote ukaanza kufsnya mambo kwa uhadilifu wale wanufaika wa mambo maovu watakuchukia ...ukisnza kufunga milango ya wizi na ufisadi utachukiwa vibaya sana .. .unajua kwa nini ?Maadui gani waliokuwa wanataka kukwamisha maendeleo ya Tanzania na kwa sababu zipi?
Wapinzani walipingaje maendeleo wakati wa JPM? Mtu akisema hataki umeme wa maji bali anataka wa gesi kama Zitto au Nape anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki serikali inununue ndege badala yake ijenge barabara za lami vijijini anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema hataki SGR kwanza badala yake anataka maji safi na hospital zenye madaktari kwanza anakuwa amepinga maendeleo? Mtu akisema mkivunja mikataba ambayo serikali ilisaini mtashitakiwa anakuwa anapinga maendeleo?
Kama Wapinzani wanadharauliwa na raia kwa kumpinga JPM kwa nini suala la Tume huru ya uchaguzi bado ni shida? Kwa nini uandikishaji wa serikali za mitaa umejaa sarakasi? Kwa nini maandamano ya upinzani yanazuiliwa kwa nguvu kubwa?