Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Toka mwanzo nilimwambia we ni nasra na ushaongopewa et lemutuz anaandaaga events za kushiba lini aliandaa events zaid ya kwenda bure tu tv & radio za mosha [emoji28][emoji28]
Huyo le mutuz mimi nishatukana sana humu JF,kwamba anajikomba-tafuta postings humu JF-me is just saying the truth,futhermore mimi makazi yangu ni Spain so how come niwe Nasra
 
[emoji28][emoji28][emoji28]si kwa kumtetea uko na matamasha uwa anaandaa sijui matamasha gani ayo ngoja wit aje labda nasra uyu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Majirani mbona mwamtoa povu mtu wa watu

Nakumbuka ile picha alipigwa Lemutuz kwenye ile party ya Go Back to School bash kama sikosei watoto wa school nyomi halafu yeye yuko kati jamani mange alimchamba na ile pic nilicheka kuiona sisahau ( usikute baby Na aliambiwa ile event ndio muandaaji [emoji12] [emoji12] [emoji12] )
 
Huyo le mutuz mimi nishatukana sana humu JF,kwamba anajikomba-tafuta postings humu JF-me is just saying the truth,futhermore mimi makazi yangu ni Spain so how come niwe Nasra
Basi yaishe wameshakusoma

Wambea wenzangu mwacheni jack
 
Toka mwanzo nilimwambia we ni nasra na ushaongopewa et lemutuz anaandaaga events za kushiba lini aliandaa events zaid ya kwenda bure tu tv & radio za mosha [emoji28][emoji28]
Ha ha ha ....sio Nasra huyu, trust me!..out of topic mange ana id lake fekero humu JF,very famous one sijaamini asee....ntakutumia PM hutaamini?!??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Majirani mbona mwamtoa povu mtu wa watu

Nakumbuka ile picha alipigwa Lemutuz kwenye ile party ya Go Back to School bash kama sikosei watoto wa school nyomi halafu yeye yuko kati jamani mange alimchamba na ile pic nilicheka kuiona sisahau ( usikute baby Na aliambiwa ile event ndio muandaaji [emoji12] [emoji12] [emoji12] )
[emoji28][emoji28]hatumchambi tena uyo mmbea mwenzetu
 
Ha ha ha ....sio Nasra huyu, trust me!..out of topic mange ana id lake fekero humu JF,very famous one sijaamini asee....ntakutumia PM hutaamini?!??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sawa mama [emoji28][emoji28]
 
Ha ha ha ....sio Nasra huyu, trust me!..out of topic mange ana id lake fekero humu JF,very famous one sijaamini asee....ntakutumia PM hutaamini?!??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
hivi lara 1 yupo wapi jamani siku hizi?
 
WEWE ugua tu-hawezi kuruhusiwa kumchafua mtu anayepigania democracy Tanzania
Ila yeye anaruhusiwa kumuattack mtu personal stuff zake kwa kivuli cha kupigania democracy? Democracy begin with you, sasa yeye ana preach kuhusu Democracy wakati hatupi nafasi ya kutoa maoni yetu kwenye page yake? Na hata kama anapigania Democracy asitumie nafasi hy kuingiza bifu zake za kipumbavu
 
Ha ha ha ....sio Nasra huyu, trust me!..out of topic mange ana id lake fekero humu JF,very famous one sijaamini asee....ntakutumia PM hutaamini?!??[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hebu nitumie shougah.
Ila kama unadhani ni Lara 1 umeshafeli tayari [emoji12][emoji12]
 
mazungumzo yake na Nasrainternational ni soko la hisa,world pollution,ozone layer,wall street,nikei average-akikutana na mimi anapiga picha tuu na kuni dismiss
hahaa le mutuz anajua soko la hisa? labda soko la mabebz u know!
 
Ooooh basi sawa.
Halafu nifah my dear unadhani sijui ni Laramoko, etc....hii namba ntakushutua PM hutaamini, nimefanyia critical investigation almost 1month namuona tuu anapost, Hamad!!! Leo kajichanganya na mipost yake, so I had to ask mods about this, and gave me total shit about her fekero and everything, yaani hii ID yake ndo kila kitu hapa JF!!!!
 
Back
Top Bottom