Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Na bado utalia sana. Hakuna jinsi baada ya kunyang'anywa watoto lazima uweke wazi kujiuza kwako la siyo utaokotwa umekufa kwa njaa
 
Mungu analipa hphpa Duniani aliwatukana sana wtu hyo dd
 
duh..jamani hii dunia ina mambo. ngoja tuwaachie wenyewe.
 
....atakionaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zile videos za mbutananga umeziona gen?
Uwiiiiii ngoja nikaziangalie tena.
Jana kidogo nife kwa kicheko.
cc mwasu I miss you darling
mrembo, nirushie video moja Ya "mbutananga" imbobo
 
Malipo dunian Mwasu huyu katukana mamba hali yakuwa hajavuka mto ngoja yamkute sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…