Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Screenshot_2016-09-16-08-56-09.png
Screenshot_2016-09-16-08-56-15.png
Screenshot_2016-09-16-08-56-36.png
Screenshot_2016-09-16-08-56-41.png
 
Na bado utalia sana. Hakuna jinsi baada ya kunyang'anywa watoto lazima uweke wazi kujiuza kwako la siyo utaokotwa umekufa kwa njaa
 
duh..jamani hii dunia ina mambo. ngoja tuwaachie wenyewe.
 
....atakionaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zile videos za mbutananga umeziona gen?
Uwiiiiii ngoja nikaziangalie tena.
Jana kidogo nife kwa kicheko.
cc mwasu I miss you darling
mrembo, nirushie video moja Ya "mbutananga" imbobo
 
Sifurahii ndoa kuvunjika, ila Mange alizidi jamani kujinadi kha! mume wake ndio mume, mzuri, tajiri anajali, ameelimika, amemzalisha watoto wazuri, loo, ikafika mahali akatukana wabongo waliolewa na wanaume weusi, eti wanaume weusi hawajui kupenda, wanyanyasaji, washenzi wa tabia? Akaja na aIDEA ya kuwasaidia wanawake wa bongo kuolewa na wazungu.. mwe... wenye akili kama zake walitiirika balaa mpaka akasema atawachaji kwa walioshindwa kutumia huo mtandao wa kujiuza, leo MZUNGU ambae kwake ndio MUME kamuacha? balaa hilo ni kubwa ndio maana kazidi kuwa chizi.. pole sana na ajifunze kuwa HUJAFA HUJAUMBIKA.
Malipo dunian Mwasu huyu katukana mamba hali yakuwa hajavuka mto ngoja yamkute sasa.
 
Back
Top Bottom