Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ngoja aanze nawewe.Nalog outWe nae mxxiuue
KwendraaaaaTena ngoja aanze nawewe.Nalog out
Duh umefufua uzi.mrembo, nirushie video moja Ya "mbutananga" imbobo
Mkuu hivi hii comment unaweza irudia kwa sasa?Pole bibi bomba.
Kumbe na wewe huwa unaumia ukisemwa?
Mkuu hivi hii comment unaweza irudia kwa sasa?
Ha ha ha...una utani na mwenezi wa Chadema?ndiyo nairudia,
"pole bibi bomba, kumbe na wewe unaumia hivyi'??
Ha ha ha...una utani na mwenezi wa Chadema?
Malipo dunian Mwasu huyu katukana mamba hali yakuwa hajavuka mto ngoja yamkute sasa.Sifurahii ndoa kuvunjika, ila Mange alizidi jamani kujinadi kha! mume wake ndio mume, mzuri, tajiri anajali, ameelimika, amemzalisha watoto wazuri, loo, ikafika mahali akatukana wabongo waliolewa na wanaume weusi, eti wanaume weusi hawajui kupenda, wanyanyasaji, washenzi wa tabia? Akaja na aIDEA ya kuwasaidia wanawake wa bongo kuolewa na wazungu.. mwe... wenye akili kama zake walitiirika balaa mpaka akasema atawachaji kwa walioshindwa kutumia huo mtandao wa kujiuza, leo MZUNGU ambae kwake ndio MUME kamuacha? balaa hilo ni kubwa ndio maana kazidi kuwa chizi.. pole sana na ajifunze kuwa HUJAFA HUJAUMBIKA.