Lmao!!! Bad situation alikupigia simu akakwambia? Ulifika kwake ukaamwona? Hahahaa Damn!!! Hivi nyie ndo tunawategemea muwe viongozi wa nchi baadae kweli?
Anyway, For your information, Niko USA bibie ndege zangu international huwezi kujilinganisha nami sawa wala kumshobokea wkt niko nchi aliyopo tena miaka kibao kuliko Yeye! Pili, mimi niliona Mange akiolewa akisaini papers za ndoa, sijawahi ona kasaini papers za divorce sasa nyie wenzetu wala vumbi mnaoumwa na mbu Tandale ndo mnajua zaidi mkiongozwa na yule taahira wa Atlanta, leteni proof yake inayoonyesha divorce, au kwa kukusaidia zaidi, marekani wanaweka kila kitu online , hebu leteni link ya California au Texas inayoonyesha ka divorce?? Mkishafanya hayo mnyanyue pua, otherwise kale vumbi shosti marekani hatuioni kwenye TV tukifika airport tunaambiwa "welcome home" shosti kama wewe mwenzetu hujafika hata zanzibar lazima usijitambue kama hivi.
Haya wahi weka chandarua chako cha blue ulale na umuote mange na mumewe.
Umeuliza nani awe na wivu na Mange? Nakujibu, wewe na hao nguruwe wenzio wote wasio na maisha ! Any other question?