Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #441
Haaaaaa!Cuzoo kumbe huyu mshenzi kawatapeli?HIVI WEE MANGE KIMAMBI KWANINI ULINIBLOCK KULE KWENYE BLOG YAKO NA INSTAGRAM...!! tatizo lako hukubali kuambiwa ukweli wee bibie...haya maisha umeyataka mwenyewe kwa kujianika kwenye social media ukajiona mjanjaa..!! kila kitu unajidai unajua umegombana na marafiki zako wotee..chaaa mwanamke una mdomo mchafu wee kama choo cha stand.. una wivu hatari usione rafikiyo kakuzidi au mtu yoyote...ushauri wa bure nenda kaombewe maana una pepo la mafarakano...na roho ya kukataliwa!!
haya kama kweli unajiamin tu unblock kule faster tuendelee kudai pesa zetu za corset...lol ulimtapeli rafiki yangu pesa yake had leo hujamrudishia corset hujampa....!! ukidaiwa unajidai kufuta comment na kublock watu...!!wee si muke ya tajir hivo vidollar vichache mbona vinakutoa imani??
alafu wee si unajidaigi jeshi la mtu mmoja huogopagi mashambulizi..haya nini kimekusibu huku hadi umejibu???
sikuombei mabaya ila umefika mwisho wako SIT DOWN SUBIRI KARMA INAKUJA...umeumiza watu wengi na maneno yako..sitoshangaa siku nikisikia umejilipua kama dady akoo..maana Mungu mkali malipo ni hapahapa dunianii...!!
RUDISHA PESAZA CORSET ULIZOTAPELI...JASHO LA MTU HALIENDI BURE!!!
Mbona makubwa?Tajiri anatapeli corset?
Mimi hata akijitolea mtu kuninunulia hayo maronya ya Mange sitaki hata bure.
Tukisikia anakuja tukamchukulie rb na kabla ya kumpeleka police tumtembezee kichapo.