Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Mange buana, wanaomuaminigi wana kazi aiseeee! Sijawahi kumfollow ila nashangaa siku hizi nikienda kwenye acc yake inaonesha kama ameniblock na nikimfoll haikubali!
Hahaaa watu wakirepost post zake huwa tu nacheka maana anavyojitutumua duuu hongera zake. Ila kichwapanzi anamnyoosha haswaa
Mange ana face a/c nyingi sana.
Ukicomment kwa Kichwapanzi au Da Zenat anakuona kwa fekero anaenda kukublock kwake.
Mimi nilishamshtukia,game zangu ziko smart...
Nawasoma wote kiulaiiiiiini.
 
Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.

Miguu kaa fito zisizo na ubora.

Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.

Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Kile ni kimeo... fulu plastic, ikatokea unaamka nae akiwa kwenye normal situation, unaweza kuzimia

Ila Mungu kamjaalia maneno na chuki... Ile miguu uswahilini tuasema ana miguu kama miti ya genge
 
Thubutuuuuu!
Hapo kama sio Dubai ni Marekani.
Enzi hizo yuko lindoni kumuwinda mzungu wake pori Lance.
Hili jamaa jinga sana.
Ha ha ha!hapo ndiyo historia inaanza,kabla ya ujeuri,dah watu muna kumbukumbu hatari.
 
Uwiiiiiiii kumbe alituumiza wengi hivi jamani?
Mimi nilim-unfollow insta nimerudi kumfollow juzi.
Na blog yake niliacha kuifuatilia kipindi cha kampeni hadi nilipokuja kusikia imekufa.
Mjue huyu mpuuzi alidhani kipindi kile kulivyokuwa na mgogoro CCM akataka kutumia as advantage kwa kumtukana Lowassa ili nae 'afikiriwe'
Wapiiiiiii,nani ampe cheo huyu mwendawazimu?
Mjinga sana anadhani atapewa cheo kwa kudhalilisha watu.
 
Nifah umemkomalia mtu tangu juzi. Nacheka sana comments za watu humu .Mi nasoma comments tu hapa.Nimecheka sana Mhusika alivyokurupuka huko na matusi juu.

Yaani wadada wengine wanajitafutia majanga wenyewe tu.

Yaani majukwaa mengine yakinichosha nimekua nikifika kwenye huu uzi kwa ajili ya kusoma comments na kuishia kuvunjwa mbavu kwa comments za wadau

Ni miezi michache lakini nilionya hii tabia ya mtu kushupalia maisha ya wengine na kuwachafua kwa ulimbukeni wa kutumia mitandao tu haitamfikisha mtu sehemu salama.

Kwa mtu aliyetulia akitukanwa na huyu bidada anapaswa kumpuuza na kumuacha alivyo maana uswahiliswahili wake haoni aibu na kama ni kujibiwa atajibiwa na wengine

Sasa mtu una exposure halafu kazi kubwa ni kutukana watu na kuzushia watu uongo kwenye mitandao ya kijamii.

Kuna kesi zimeshafunguliwa .Ukiwa ignorant wa sheria siku zote utafanya mambo ambayo ni ya kishamba na utakuwa unaswekwa rumande kila siku na kuwapigia magoti watu.
Well said Ben!
 
Yaani ni Balaa hawa watu.Yaani kuna wanaoshambulia kwa Kombination ya MSN .Mess,Suarez na Neymar.

Naona mhusika mkuu kajitokeza kapewa makombora kama yale ya Benghazi

Sijui huko alipo yupo kwenye hali gani muda huu anaweza akawa anautazama huu uzi kwa hasira na kuuma meno tu.Halafu hawataki kumuacha .

Yaani afadhali wangemchapa vibao tu yaishe maana haya maneno yao maumivu hudumu labda aombe JF wauondoe huu Uzi.

Sema wanaume nasi tuna roho ngumu kuvumilia maana sipati picha ukute ni patna au Mke wako anapewa za uso hivi halafu bado haachi tu.

Wanawake hawa kwa mipasho ni balaa tupu kweli.
Ben kaka yangu, 'MUOSHA, HUOSHWA'. Hata muosha maiti pale muhimbili at one stage ataoshwa tu!!! Its our turn. Na bado asubiri kesi yake Bongo... Atabebwa hata kwa Machela from USA to Bongo. Eti sharia za Bongo hazimgusi... Sasa anamsema Kibatala kuwa ni mwanasheria wake na atamtoa asubuhi pale Oysterbay, asichokijua kuwa hiyo kesi inayomkabili hapa Bongo inaongozwa na jopo la wanasheria watatu: Kibatala, Josiah wa Jodi Advocates na Albert Msando. Nimeliona file lake, hatoki huyu bidada.
 
Mateso ya kujitakia; anapambana na so called maadui zake kuwaonyesha kuwa mambo yamewanyookea. Maisha yalikuwa enzi zetu aisee, wa Changombe tujajirusha kivyetu, wa Magomeni kivyao, Upanga hali kadhalika. Sana sana mtakutana Coco Beach na Disco la Mawingu. IG imewapumbaza kweli si uwongo
Sio uongo kabisaaa... Mziki kwenda mbele, hakuna simu wala Insta Enzi hizo. Siku hizi watoto wetu wanaishi maisha ya online. Mange ndio kabisa kaathirika na hili. Na wanasema ukitaka many followers eti utukane tu ndio wanakuja kibao.
 
Kwani wazungu ndio kina kina nani?! Ndoa haina ASILI, ndoa inahitaji Maridhiano yaheshimiwe na wote wawili, Mzungu alimvumilia sana huyu mwanamke tabia ya Mange kwenye jamii ni ngumu sana kuishi nae mke kila siku anaongeza maadui unategemea nyumba inanoga kweli?
hivi wazungu wanapenda,demu wa kizungu ukimzingua tu anasepa na haitaji kuombwa msamaha
 
Mange kesha haribu tena, piteni jukwaa la habari na hoja mchanganyiko mkajionee tution aliyoitoa kwa wanawake/wasichana, kweli huu mwaka mirembe inamuhusu.
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
 
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
Mange ametoa darasa la wanawake wasichana kutumia Ass.... ili waweze kuishi poa..haahaa ngoja nikaiangalie usikute ishanyofolewa.nitarudi
 
Mbona nimepita sijaona Mwasu,uzi umeandikwa kwa subject gani? umbeya huu jamani...
Ipo jukwaa hili hili naona mods wali ihamisha kutoka kule "MANGE UNATAKA KUWAFUNDISHA NINI?" hicho ndio kichwa cha habari shoga! wahi kachukue maujuzi kama nawe unataka kutumia kiungo chako cha HESHIMA kujinufaisha kwa njia za KUKIDHARAU.
 
Ipo jukwaa hili hili naona mods wali ihamisha kutoka kule "MANGE UNATAKA KUWAFUNDISHA NINI?" hicho ndio kichwa cha habari shoga! wahi kachukue maujuzi kama nawe unataka kutumia kiungo chako cha HESHIMA kujinufaisha kwa njia za KUKIDHARAU.
Hahaaaaa.....shukrani shoga,ngoja niwahi nikajifunze mie..
 
Mange kaachwa sikuhizi zile mbwembwe za picha akiwa name Baba kenzo wamekumbatiana hazipo hata za dinner sikuhizi hazipo haaaaa haaaa muosha kaoshwa
 
Back
Top Bottom